Tuliounguza account za Forex trading

Thank for sharing,! Kwa wale wanaohangaika juu ya broker , nawashauri wamtumie broker Templer FX Trader huyu ni broker Wa UK ana ofisi zake hapa Tanzania , ni kati ya brokers wachache ambao hawana kamisheni , ni broker ambaye ni rahisi sana kufungua akaunti , anahitaji kitambulisho kimojawapo kati ya cha uraia,kura, leseni au passport,.. Inachukua 24hours kupata akaunti yako.

Kikubwa kutoka kwake ambacho wengi wanampendea huyu broker ni njia rahis ya kuweka na kutoa Pesa yako , kupitia huduma ya Mpesa utaweza kufanya mihamala yako kirahisi ukiwa chumbani , huhitaji kwenda bank ,, mfano mm nimetrade BTCUSD usiku huu nimepata profit ya $70 nimeamua kuitoa sasa hivi kwa Mpesa , very easy yani.
e97dd1e8bcd715d9db028b1af6435d63.jpg


Pia customers care yake ni nzuri , na km unachangamoto katika lugha ya malikia unatumia kiswahili na mnaelewana ... Kufungua akaunti ingia kwa website yao hii Templer FX Trader click Register or open an account , let me know ukikwama sehemu nitakusaidia .
ofisi zake ziko maeneo gani hapa tz?
 
FEW IMPORTANT LINKS:

FOREX TRADERS OF TZ:
Forex Traders Tz

FREE FOREX CLASSES:
SIMPLE FOREX STRATEGY GROUP

FREE FOREX BOOKS:
FX Trading Books

FREE FOREX SIGNALS:
+255MillionairesFX

FREE FOREX SIGNALS:
FreeForexSignals

TEMPLER BROKER:
Templer FX Trader

PEPPERSTONE BROKER:
Pepperstone - Australia's Fastest Forex Broker

TICKMILL BROKER:
Tickmill - Trade With First Class Forex Broker

FBS $50 NO DEPOSIT BONUS :
FBS $50 Welcome Bonus - Forex

HOW TO USE DUSUPAY (ONCE WAS TICKMILL MOBILE FUNDING METHOD):


FOREX VIDEO: THE SIGNS:

hiyo DUSUPAY Tickmill wameshaanza lini kuitumia?
 
We aim to help people not to steal their money, Education is supposed to be cheap thats why we work hard to make sure everyone get knowledge with tiny amount,
Join our team with only $24! (tsh 55000)

FORGET ABOUT EMPLOYMENT!
-
LEARN FOREX, BECOME FROFITABLE TRADER under the [HASHTAG]#FXDI[/HASHTAG]

Contact:
+255762272838
Forexdeluxeinstitute@gmail.com
 
MENTOR:JINSI YA KUMPATA ATAKAYEKUFAA.
Umeshawahi kuwaza kama ungepata mtu akufundishe Forex? ushawahi kuwaza ingekuwaje mtu anayefahamu kuliko wewe angekuwa anakupa msaada na maelekezo ya jinsi ya kutrade? ushawahi mfuata mtu inbox kumwomba mtu akupe personal classes? ushawahi hisi hauwezi kufikiria vizuri kuhusu strategy gani utumie ili uwe profitable trader, na hivyo unahitaji mtu akupe mwongozo?

kama ndio, basi mtu huyo anaitwa Mentor.
View attachment 713036
bahati mbaya wengi wetu twadhani kila mtu anayejua kuliko sisi anafaa kuwa mentor. hapo ndipo tunapokosea na kupotea. inakuwa kama kumwona mtu ana joho basi twamkamata na kumkabidhi madhabahu aendeshe ibada, kumbe sio wote wenye majoho ni mapadre, wengine masheikh!
Kuna sifa kadhaa za mentor ambazo unapaswa kuzijua kabla hujamuomba mtu awe mentor wako.

1. huo mfano wa mchungaji na sheikh umeuelewa? mentor wako anapaswa kutrade kwa staili unayotrade, la sivyo utajikuta unabadili staili ya kutrade kila ukibadili mentor. kama wewe ni naked trader, tafuta mentor naked trader, kama wewe watumia indicator, tafuta mentor anatumia same indicators... naked hawezi kummentor anayetumia indicator, the same mentor anayetumia indicator katu hawezi kumfunza naked trader... Birds of same feathers........ utamalizia hapo...

2. kama ambavyo fundi makenika wa treni hawezi mwelekeza fundi makenika wa IST jinsi ya kuziba pancha, mentor scalper hawezi kummentor swinger, and vice versa, so kama wewe ni swinger tafuta mentor swinger kama wewe ni scalper, tafuta mentor scalper.

3. ni nzuri pia kama mentor na mentee wakatrade same market, and same pairs.. sio wewe unatrade EURUSD na mentor wako muda wote anatrade Coffee au Orange Juice!

4. kama watumia indicators, ni nzuri mentor atumie same indicators kama umeamua kutumia OG Forex strategy, then mmiliki wa hiyo startegy atakuwa mentor mzuri zaidi... kama unatumia MCV, na ,mentor pia atumie hiyo, hali kadhalika kama watumia moving averages, then mentor wako awe anazitumia hizohizo....
View attachment 713035

5. mentor anapaswa awe na muda wa kukuelekeza, full time trader ni mzuri zaidi, maana anakuwa na uwezo wa kukusaidia wakati wote unapohitaji msaada.View attachment 713034

6. kitu kikubwa zaidi.... AFFORDABILITY ya mafunzo/mentorship.. kama mtaji wako ni $50, ni hasara sana kutafuta mentor wa $2000.

Kwa maelekezo hayo machache, hope itakuwa rahisi zaidi kumpata mentor, and please note, i dont give mentorship services, mi mwenyewe nahitaji kuwa na mentor!

cheers!
 
Imeleta hivi mkuu kila nikijalib
 

Attachments

  • Screenshot_20180312-231515.png
    Screenshot_20180312-231515.png
    33.7 KB · Views: 102
FEW IMPORTANT LINKS:

FOREX TRADERS OF TZ:
Forex Traders Tz

FREE FOREX CLASSES:
SIMPLE FOREX STRATEGY GROUP

FREE FOREX BOOKS:
FX Trading Books

FREE FOREX SIGNALS:
+255MillionairesFX

FREE FOREX SIGNALS:
FreeForexSignals

TEMPLER BROKER:
Templer FX Trader

PEPPERSTONE BROKER:
Pepperstone - Australia's Fastest Forex Broker

TICKMILL BROKER:
Tickmill - Trade With First Class Forex Broker

FBS $50 NO DEPOSIT BONUS :
FBS $50 Welcome Bonus - Forex

HOW TO USE DUSUPAY (ONCE WAS TICKMILL MOBILE FUNDING METHOD):


FOREX VIDEO: THE SIGNS:
 
Hakuna wapya waliounguza wapya? Inamana tz maguru ndo washakuwa walewale?

Nlipounguza waliniambiaga eti ndo naelekea kuwa guru!
 
FEW IMPORTANT LINKS:

FOREX TRADERS OF TZ:
Forex Traders Tz

FREE FOREX CLASSES:
SIMPLE FOREX STRATEGY GROUP

FREE FOREX BOOKS:
FX Trading Books

FREE FOREX SIGNALS:
+255MillionairesFX

FREE FOREX SIGNALS:
FreeForexSignals

TEMPLER BROKER:
Templer FX Trader

PEPPERSTONE BROKER:
Pepperstone - Australia's Fastest Forex Broker

TICKMILL BROKER:
Tickmill - Trade With First Class Forex Broker

FBS $50 NO DEPOSIT BONUS :
FBS $50 Welcome Bonus - Forex

HOW TO USE DUSUPAY (ONCE WAS TICKMILL MOBILE FUNDING METHOD):


FOREX VIDEO: THE SIGNS:
 
ANZA NA MTAJI WA BURE WA $30 [NO DEPOSIT BONUS] YA TEMPLER.


[TERMS AND CONDITIONS LINKED]


Huenda ushatumia demo lakini uko na tatizo la mtaji... Au wengine, kama mimi, tumeunguza akaunti, jinsi ya kuanza tena ni ngumu, hasa linapokuja suala la mtaji....


Ikumbukwe kwamba, Templer pia atakupa uwezo wa kufund na kuwithdraw pesa zako kupitia Mpesa, kama utachagua kuendelea kumtumia, hata baada ya kupoteza hyo $30.


(Don't Worry, Hautodaiwa kama ukiiunguza)


ANGALIZO:

Bonus hii ni kwa wateja wapya tu, kama ulishakuwa na akaunti ya Templer na ukaiwekea pesa, hautoweza kuipata, labda ufungue akaunt tofauti.



HATUA ZA KUFUATA:

1. Fungua akaunti mpya hapa:


Templer FX | Start with $30 No deposit Bonus



2. Verify email, namba ya simu (ni bora iwe voda, kwa ajili ya kutoa faida na kuendesha akaunti) na utambulisho wako.

Menu > MyTemplerFX> Verifications


3. Nenda MENU > OPEN ACCOUNT > chagua LIVE UNIVERSALFX > ok


4. Nenda Menu > Bonus > chagua akaunti yako ya universalFX, WEKA REDEEM CODE:


NDB30JN42017


Then submit.


5. Utapokea $30 katika akaunti uliyoifungua, mara nyingi within an hour.


6. Kama huna MT4 for Android ,download hapa:


https://play.google.com/store/apps/details?id=net.metaquotes.metatrader4


Start Trading!!

TRADE SAFELY!



Ukihitaji msaada wowote kuhusu kuipata hii bonus, nicheck inbox




Terms And Conditions hapa:


TemplerFX No Deposit Bonus Agreements
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom