Tuliounguza account za Forex trading

hii biashara sijawahi kuelewa...
Wakati naanza forex trading niliunguza zaidi ya account 8, nahisi zinafika account 12. Nimefika kipindi ambacho siwezi kuunguza account hata kama nikiwa na $10.

Namaanisha hata leo nikifilisika nitatafuta elfu 24,000 tu ambayo ni $10, nitaikuza kufika $100, hiyo nayo nitaikuza hadi $1000. Nikifika $1000 nina uwezo zaidi ya asilimia 100 kuingiza mshahara wa madaktari wa5 kwa kila mwezi.

Kama umeunguza account jua upo kwenye hatua ya kuimarika hasa kisaikolojia. Nina mwanafunzi wangu, kamaliza CPA juzi kati alianza na $100 akaifikisha $400. Then akacheza michezo ya kishamba akaunguza account yake yote. Akaifund upya kwa $100, leo ninavyozungumza ana account ya $3000 chini ya mwezi mmoja. Thats the power of forex!!
 
hii biashara sijawahi kuelewa...
Wakati naanza forex trading niliunguza zaidi ya account 8, nahisi zinafika account 12. Nimefika kipindi ambacho siwezi kuunguza account hata kama nikiwa na $10.

Namaanisha hata leo nikifilisika nitatafuta elfu 24,000 tu ambayo ni $10, nitaikuza kufika $100, hiyo nayo nitaikuza hadi $1000. Nikifika $1000 nina uwezo zaidi ya asilimia 100 kuingiza mshahara wa madaktari wa5 kwa kila mwezi.

Kama umeunguza account jua upo kwenye hatua ya kuimarika hasa kisaikolojia. Nina mwanafunzi wangu, kamaliza CPA juzi kati alianza na $100 akaifikisha $400. Then akacheza michezo ya kishamba akaunguza account yake yote. Akaifund upya kwa $100, leo ninavyozungumza ana account ya $3000 chini ya mwezi mmoja. Thats the power of forex!!
 
Wakati naanza forex trading niliunguza zaidi ya account 8, nahisi zinafika account 12. Nimefika kipindi ambacho siwezi kuunguza account hata kama nikiwa na $10.

Namaanisha hata leo nikifilisika nitatafuta elfu 24,000 tu ambayo ni $10, nitaikuza kufika $100, hiyo nayo nitaikuza hadi $1000. Nikifika $1000 nina uwezo zaidi ya asilimia 100 kuingiza mshahara wa madaktari wa5 kwa kila mwezi.

Kama umeunguza account jua upo kwenye hatua ya kuimarika hasa kisaikolojia. Nina mwanafunzi wangu, kamaliza CPA juzi kati alianza na $100 akaifikisha $400. Then akacheza michezo ya kishamba akaunguza account yake yote. Akaifund upya kwa $100, leo ninavyozungumza ana account ya $3000 chini ya mwezi mmoja. Thats the power of forex!!
Mkuu training ya dar ni lini
 
Kama wewe ni 26+ umeajiriwa halafu ukashindwa kuwa inspired na huyu dogo utakuwa na shida kwenye ubongo

Sio lazima ufanye anachokifanya ila lazima ujifikirie mara mbili mbili zamani tulizoea kuwaona watu wa nje tukawa tunajipa moyo kwamba wana mazingira tofauti sasa now tutasemaje?
 
Nyie downloadini pesa tu... Ni sawa.

Wengine tunaamini katika thamani. Katika kazi. Katika uzalishaji.
Uwe mkweli useme kwamba ww ni mwoga na huwezi kujifunza. Na ukishakuwa na hizo tabia mbili utaishia kusubiri uje kujenga nyumba baada ya PSPF, NSSF kukupa kukufa mafao yako
 
Wakati naanza forex trading niliunguza zaidi ya account 8, nahisi zinafika account 12. Nimefika kipindi ambacho siwezi kuunguza account hata kama nikiwa na $10.

Namaanisha hata leo nikifilisika nitatafuta elfu 24,000 tu ambayo ni $10, nitaikuza kufika $100, hiyo nayo nitaikuza hadi $1000. Nikifika $1000 nina uwezo zaidi ya asilimia 100 kuingiza mshahara wa madaktari wa5 kwa kila mwezi.

Kama umeunguza account jua upo kwenye hatua ya kuimarika hasa kisaikolojia. Nina mwanafunzi wangu, kamaliza CPA juzi kati alianza na $100 akaifikisha $400. Then akacheza michezo ya kishamba akaunguza account yake yote. Akaifund upya kwa $100, leo ninavyozungumza ana account ya $3000 chini ya mwezi mmoja. Thats the power of forex!!
mkuu what's the minimum amount nahitaji ili nifungue account?!
 
Kawaida ilitakiwa tufanye demo, then tufanye na cent/micro account ndo twende standard account. Kuna vitabu vingne nimesoma vinasisitiza hili.

unapotrade na cent account ukideposit $1 inaenda kusoma 100 katika trading platform ($1=100c), now, kwa rate za broker namtumia kwenye cent acc (bado namalizia kutumia cent account, baada ya kuunguza standard account 3), $1 = 2239TZS, so unaweza kuanza kutrade na cent, ambayo ni real, na ukipata faida unawithdraw, kwa 2239 TZS tu.

Uzuri wa cent ni kwamb utajifunza kucontrol emotions, unlike demo ambayo co real money at all.

Tabu ni kwamba, kama ambavyo ni ngumu kupata hasara, ni ngumu kupata faida pia.

Lakini ikumbukwe kuwa akaunt hii ni ya kujifunzia analysis, na trading psychology kabla ya kwenda standard live.

Ushauri, tumia demo, then nenda cent, then nenda standard.

Uzuri wake broker huyu http://bit.ly/2hrv3Yo anazo zote tatu.

I hope I've been of help. Ukiamua kuregister ukapata shida ucsite kuntafuta.

All the best!
 
Back
Top Bottom