Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TushirikisheTulio pitia hili janga tukutane hapa, kupeana uzoefu kidogo ilikuwaje kuwaje, umejifunza nn, na hatua gani umechukua kuepuka maumivu hayo yasijurudie.
Binafsi: usd 110 imeungua wiki hii.
Tushirikishe
- Ulichojifunza
- Hatua gani umechukua
Ahsante
My Take
View attachment 632696
Kwa upande wangu Vitu vya kuzingatia ni hivi
1. Lot size iendane na mtaji wako.
2. Epuka pair zenye High Impact News kwa siku husika iwapo hutumii SL na umefungua postion nyingi kwa mtaji mdogo
3. Chukua Faida mapema kadri iwezekanavyo maana wakati wowote BLUE yaweza kuwa RED
mpe na uchochoro huo kabisaWee jamaa hua nakukubali sana ni moja ya mfano wa kuigwa kwangu kwa jinsi unavyokoti watu na kutoa ufafanuzi..
Naku Rate 5stars
mmmmmhmpe na uchochoro huo kabisa
Tushirikishe
- Ulichojifunza
- Hatua gani umechukua
Ahsante
My Take
View attachment 632696
Kwa upande wangu Vitu vya kuzingatia ni hivi
1. Lot size iendane na mtaji wako.
2. Epuka pair zenye High Impact News kwa siku husika iwapo hutumii SL na umefungua postion nyingi kwa mtaji mdogo
3. Chukua Faida mapema kadri iwezekanavyo maana wakati wowote BLUE yaweza kuwa RED[/QUOTE
Nilicho jifunza kwanza uchaguzi wa time frame ni muhimu sana kulingana na mtaji wako short time frame kama 15min siyo rafiki kabisa kwa mitaji midogo, uvumilivu unahitajika hii sio ishu ya kulala maskini na kuamka tajiri hii inaturudisha kwenye lotsize iwe inaendena na mtaji wako, stoploss ni muhimu sana tena sana, na ukiona red zinafika kwa stoploss we kabuli matokeo habari ya kuvumu stoploss juu zaidi kwa hope kwamba market ita change direction hiyo haipo..cha mwisho linda kilicho chako mzaidi kuliko kutamani ambacho bado hauja kipata..
Kakutukana huyo mzabe vibao,yani anakwambia umpe na 'K'Upi huo ze kidudu..
HahahaKakutukana huyo mzabe vibao,yani anakwambia umpe na 'K'
-Tutaamini vp Kama unatutega?Tulio pitia hili janga tukutane hapa, kupeana uzoefu kidogo ilikuwaje kuwaje, umejifunza nn, na hatua gani umechukua kuepuka maumivu hayo yasijurudie.
Binafsi: usd 110 imeungua wiki hii.
Unataka kutuambia kila anaye-trade Forex lazima apitie kwa Ontario?-Tutaamini vp Kama unatutega?
-Ulienda course ya forex kwa Ontario mbona kila mkoa unamagroup ya what's up ya kushauriana?
-Leta picture za red screen hapa usipotoshe watu kumbe hujaingia forex Kula nondo.
Tuonyesheshe blue screen zako wewe bigzwazwa.Unataka kutuambia kila anaye-trade Forex lazima apitie kwa Ontario?
Tuondolee uzwazwa wako hapa.