Nawasalimu kwa jina LA JMT
Kama ilivyo kawaida kwa nchi yetu. ya Tanzania baada ya kumaliza kidato cha sits wahitimu hao wakike na wakiume hutakiwa kwenda kujifunza mafunzo mbalimbali yanayofahamika kama mafunzo ya JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA MUJIBU WA SHERIA,
Kama kawaida mwishoni mwa mwezi wa tano, mkuu wa jeshi la kujenga Taiga Meja General Rajabu mabele alitangaza majina ya waliochaguliwa pamoja na kambi zao,
Vijana kwa mbwembwe wengine kwa huzuni kubwa tukaripoti kambi tofauti tofauti kama vile Mlale Kanembwa Bulombora Rwamkoma Kibiti Nachingwea Mtabila Mgambo Oljoro Ruya Mpwapwa Mafinga Makutopora Ruvu na kambi zingine zinazokamilisha kambi 19,
Binafsi nilipangiwa 832kj Ruvu
Combania Bravo, Platun namba 2 section namba3 Bila kusahau K.O
Binafsi sitosahau Luna siku nilidoji michikichini( watu wa A,B,C coy) wanapajua then nikalala, ile nafungua macho naona kitaambaa chekundu chenye herufi mbili tu MP, daah Nakumbuka nilipigwa kama ndooo 30 za maji ya baridi saa12 asbh in roll , croll uchura na ubataubata kama vyote nachokumbuka sikufoleni msosi Sikh tatu kwa homa niliyopata, Pia nakumbuka niliibiwa simu yangu Infinix hot ten Usiku nikiwa nimelala, the day after nikakuta laini zangu kwenye kitanda na memo yenye kusema SORRY BRo,dah nilicheka sana,
All in all, tulimaliza salama jumla ya 25,000 huku 500 wakishindwa kumaliza na kifo 1
Wanangu wa kambi zingine tupeane uzoefu kipi ulipitia ambacho hutasahau
Kama ilivyo kawaida kwa nchi yetu. ya Tanzania baada ya kumaliza kidato cha sits wahitimu hao wakike na wakiume hutakiwa kwenda kujifunza mafunzo mbalimbali yanayofahamika kama mafunzo ya JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA MUJIBU WA SHERIA,
Kama kawaida mwishoni mwa mwezi wa tano, mkuu wa jeshi la kujenga Taiga Meja General Rajabu mabele alitangaza majina ya waliochaguliwa pamoja na kambi zao,
Vijana kwa mbwembwe wengine kwa huzuni kubwa tukaripoti kambi tofauti tofauti kama vile Mlale Kanembwa Bulombora Rwamkoma Kibiti Nachingwea Mtabila Mgambo Oljoro Ruya Mpwapwa Mafinga Makutopora Ruvu na kambi zingine zinazokamilisha kambi 19,
Binafsi nilipangiwa 832kj Ruvu
Combania Bravo, Platun namba 2 section namba3 Bila kusahau K.O
Binafsi sitosahau Luna siku nilidoji michikichini( watu wa A,B,C coy) wanapajua then nikalala, ile nafungua macho naona kitaambaa chekundu chenye herufi mbili tu MP, daah Nakumbuka nilipigwa kama ndooo 30 za maji ya baridi saa12 asbh in roll , croll uchura na ubataubata kama vyote nachokumbuka sikufoleni msosi Sikh tatu kwa homa niliyopata, Pia nakumbuka niliibiwa simu yangu Infinix hot ten Usiku nikiwa nimelala, the day after nikakuta laini zangu kwenye kitanda na memo yenye kusema SORRY BRo,dah nilicheka sana,
All in all, tulimaliza salama jumla ya 25,000 huku 500 wakishindwa kumaliza na kifo 1
Wanangu wa kambi zingine tupeane uzoefu kipi ulipitia ambacho hutasahau