MBWAMBO NICHOLAUS JR
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 424
- 427
Habari za mda huuu....
Poleni na changamoto za maisha..
Hususani kipindi hiki...
Niende kwenye mada kwanza elimu yangu form six pekee mana chuo kipindi hicho sikuweza kuendelea japo nilifaulu nilikosa mkopo ilihali nilisoma government ila watu wa arts ndio shidaa.......
Aiiseee kufakinikiwa maisha sio mchezo mchezo kazi kubwa
Nilipokosa mkopo chuo baada ya kumaliza form six nilirudi kijijini kulima na kufanya mishemishe za hapa na pale my friend sio mchezo nilitaabika sana watu wa vijijini wanasema huyu na usomi wake yupo kijijini analima ila niliziba masikio aisee....
Mana kuishi na mama tuu wakati baba yupo kwingine mmetelekezwa sio mchezo kila nikikumbuka huwa naumia sana situation ya kipindi kile
Basi nilikua na nguo saba tuu kwenye begi maana suruali saba na mashati saba tuuu hapo.. viatu viwili tuuu. ..
Kipindi hicho masela wangu wapo dar full wiki end bata sana chumba sabufa kubwa.....
Mama yangu alikua ananitia moyo fanya kazi...
Nilikua
_Bahili
-Kupumzika jumapili tuuu
-niliacha matumizi yasiyo ya lazima kama club. pombe
-niliweka malengo
Sasa hivi namshukuru Mungu kwa mwezi naingiza million tano maximum mpaka saba na minimum mpaka tatu miaka yangu 24+
Na bado sijaoa ila japo sio milionea ila nimepiga hatua sana......
Njoo hapa share na wewe ulifanikiwa vipi
Poleni na changamoto za maisha..
Hususani kipindi hiki...
Niende kwenye mada kwanza elimu yangu form six pekee mana chuo kipindi hicho sikuweza kuendelea japo nilifaulu nilikosa mkopo ilihali nilisoma government ila watu wa arts ndio shidaa.......
Aiiseee kufakinikiwa maisha sio mchezo mchezo kazi kubwa
Nilipokosa mkopo chuo baada ya kumaliza form six nilirudi kijijini kulima na kufanya mishemishe za hapa na pale my friend sio mchezo nilitaabika sana watu wa vijijini wanasema huyu na usomi wake yupo kijijini analima ila niliziba masikio aisee....
Mana kuishi na mama tuu wakati baba yupo kwingine mmetelekezwa sio mchezo kila nikikumbuka huwa naumia sana situation ya kipindi kile
Basi nilikua na nguo saba tuu kwenye begi maana suruali saba na mashati saba tuuu hapo.. viatu viwili tuuu. ..
Kipindi hicho masela wangu wapo dar full wiki end bata sana chumba sabufa kubwa.....
Mama yangu alikua ananitia moyo fanya kazi...
Nilikua
_Bahili
-Kupumzika jumapili tuuu
-niliacha matumizi yasiyo ya lazima kama club. pombe
-niliweka malengo
Sasa hivi namshukuru Mungu kwa mwezi naingiza million tano maximum mpaka saba na minimum mpaka tatu miaka yangu 24+
Na bado sijaoa ila japo sio milionea ila nimepiga hatua sana......
Njoo hapa share na wewe ulifanikiwa vipi