Mnazi mmoja ukonga routr yangu ya kukimbia hii nyt kaliKuna siku nilienda kumsalimia bibi . Wakati wa kwenda nilipanda gari, nilishuka kituoni nikatembea kuanzia saa 9alasiri hadi saa 12 na nusu jioni(Sijui ni km ngapi)
Kesho yake tukaondoka saa 12 nasu asubuhi tukafika saa 4 asubuhi
Pia kuna siku nilitembea kutoka mnazi mmoja hadi ukonga banana. Ilikuwa 1987
Hawa wanaosema wanatembea km 100 kwa siku ni waongo.kuna mtu alishindwa kutoboa km 200 kwa Baiskeli Iringa to Njombe.Iwe anayetembea kwa mguu atoboe km 100 siku moja?Rudia soma alichoandika. Amesema kuwa kama Marathon km 42 mtu anakimbia kwa Masaa mawili na dakika. 100km huyu mkimbiaji atakimbia masaa 6. Hapo tumeondoa vikwazo kama kuchoka nk.
Hakuna mtu anaweza tembea km 100 kwa siku
Usifanye mchezo na km100Sasa wewe umezaliwa dar umekulia dar unaishi dar
Utajua nini haya mambo
Mtu aliye zaliwa kijijini na akakulia kijijini hawezi shangaa
Wewe utakua hata baiskeli haujawahi kumilikiAcha uwongo ndugu ukonga to mnazi1 km20 za wapi?? Zimezidi km 4 tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mkuu duuh, ulipitia arisi au njia ya kilemaNakumbuka nilitembea toka Kirua vunjo uparo kwa babu mzaa baba mpaka Kiraracha,Komalagwe nilipofika pale marangu mtoni nikatamani kurudi
Binafsi nimewahi kutembea umbali takribani kilometer 100.
Ilikuwa ni safari ya kwenda na kurudi na ilinigharimu siku moja ya kwenda na siku ya pili ya kurudi.
ilikuwa nimeelekea msibani na nilikuwa na nauli ya kwenda tu, kwa sababu nikapata company ya mtu ambaye hakuwa hata na hiyo ya kwenda tukaungana na kuanza kupasua pori mdogo mdogo.
Safari ilihusisha kupanda na kushuka milima, mvua ilinyesha na kukatika karibu mara nne ila hatukukata tamaa.
Ninajua watu wametembea kwa miguu umbali mrefu kwa sababu nyingi zikiwemo:
kukoswa nauli
kutafuta kazi
Kuepuka hatari
hakuna namna ya kusafiri
na sababu nyingine nyingi ...
karibu utujuze