Barbie Maliposa
Senior Member
- Feb 9, 2011
- 153
- 19
Enzi zile 2likuwa 2nasoma vitabu na hadithi kama:
juma na roza (pipiii,simile nipite na motokaa yangu)
sizitaki mbichi hizi
pamela na kipini
bulicheka
fikiri mimi masikini
edina na bustani
Ongeza vingine unavyokumbuka
juma na roza (pipiii,simile nipite na motokaa yangu)
sizitaki mbichi hizi
pamela na kipini
bulicheka
fikiri mimi masikini
edina na bustani
Ongeza vingine unavyokumbuka