Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Mkuu,
Hapo kwenye bluu, unanikumbusha jinsi alivyofariki kiajabu-ajabu kijana wa Mh. Horace Kolimba(RIP) aliyekuwa akiitwa VANDU MAKOKO. Kijana huyu aliyekuwa kidato cha pili wakati huo alifariki mapema 1990 wakati sisi tukiwa SIX, duu msiba huu ulitikisa Shule!
Mkuu tulikuwa darasa moja! Usiuliuze combination ukaconnect dots
kabla ya kufanya mitihani nadhani ilikuwa May 1990, Dudu alikuwa anachechemea sana nami niliugua sana na ikagundulika nilikuwa na Appendecitis http://www.google.co.uk/search?hl=e...e39IA8&ved=0CC4QvwUoAQ&q=appendicitis&spell=1 ikabidi nifanyiwe operation. Washikaji walikuwa wakija kunicheck wananiambia Mchungaji wewe uko kwenye selection lol! Nilikuwa naogopa sana, bahati akaja kufa yule dogo Vandu Makoko RIP!