Erick Martie
JF-Expert Member
- Jun 6, 2015
- 301
- 338
Mimi nnakumbuka mwalimu wangu wa darasa la kwanza mwaka huo 1998 shule ya msingi Mashujaa alikuwa anaitwa Mwalimu Nungu, vp wadau wewe mwalimu wako wa darasa alikuwa nani!?
Nlikuwa na marafiki wengi tumepotezana hebu njooni hapa tukumbukane wanafunzi wa darasa hilo la 1998 darasa la kwanza Mashuja P/s Sinza Dar es salaam
Nlikuwa na marafiki wengi tumepotezana hebu njooni hapa tukumbukane wanafunzi wa darasa hilo la 1998 darasa la kwanza Mashuja P/s Sinza Dar es salaam