Tuliosoma Forodhani Sec. School tujuane!

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Jan 1, 2017
20,701
45,033
Uzi maalumu kwa tuliosoma Forodhani Sec School, unakumbuka nini? Mnawakumbuka maticha gani? Kitu gani unakimiss? Na ikiwezekana utuambie ulihitimu mwaka gani?
 
Mimi nilimaliza mwaka 1998, kwanza namkumbuka aliyekuwa mkuu wa shule wakati huo Mama Busyanya, Mwl Kashato (French), Mwl.Didas allikuwa anafundisha maths na wengine wengi kitambo sana
 
Mimi nilimaliza mwaka 1998, kwanza namkumbuka aliyekuwa mkuu wa shule wakati huo Mama Busyanya, Mwl Kashato (French), Mwl.Didas allikuwa anafundisha maths na wengine wengi kitambo sana

Huyo Didas katumbuliwa Mwaka huu kwa Shule yake kuwa ya Mwisho Mwisho Kitaifa huko Kigamboni, Huyu Jamaa ni Mla gongo hataree na Ana asili ya Rwanda Ila kwny Hesabu ni Mzuri Tatizo Gambe
Kuna Hayati Mr. Lukinga Rafiki yangu wa Faida!


Walimu wengi wa Forodhani nilikuwa nakutana nao Maeneo ya Jojiz pale NMB House jion kuchoma Mapafu kwa Konyagi
 
Huyo Didas katumbuliwa Mwaka huu kwa Shule yake kuwa ya Mwisho Mwisho Kitaifa huko Kigamboni, Huyu Jamaa ni Mla gongo hataree na Ana asili ya Rwanda Ila kwny Hesabu ni Mzuri Tatizo Gambe
Kuna Hayati Mr. Lukinga Rafiki yangu wa Faida!


Walimu wengi wa Forodhani nilikuwa nakutana nao Maeneo ya Jojiz pale NMB House jion kuchoma Mapafu kwa Konyagi
uko njema
 
Mwl Didas alikuwa wa hesabu na mwl Sangawe alikuwa wa kifaransa hiyo ni kwa wale wa lebo ya blue

Sent from my Iphone 6 Plus using JamiiForums mobile app
 
Uzi maalumu kwa tuliosoma Forodhani Sec School, unakumbuka nini? Mnawakumbuka maticha gani? Kitu gani unakimiss? Na ikiwezekana utuambie ulihitimu mwaka gani?


Fizikia Mwalimu bora Duniani, ndiye aliyeitambulisha Fizikia kwangu na imebakia mpaka leo hii, kulikuwa na Mama mmoja wa Kemia pia alikuwa vizuri sana bila kusahau chai ya maziwa na mikate ya Azamu iliyopakwa siagi!
 
Back
Top Bottom