Tuliosoma elimu ya chuo kikuu tukiwa na umri mkubwa tukutane hapa

kyanyangwe

JF-Expert Member
Oct 31, 2018
1,147
2,745
Habari ndugu zangu,

Hata kwenye vitabu vitakatifu imeandikwa kamwe usimuache elimu aende zake. Huo ni msemo ambao ulikuwa una-sound mara kwa mara akilini mwangu. Kwa kifupi, mimi ni mwanaume wa miaka 30 kwa sasa, nilimaliza kidato cha sita mwaka 2009 nikiwa na umri wa miaka 19, niseme tu nimekulia katika maisha ya kilala hoi tu.

So baada ya matokeo ya form 6 kutoka nilikuwa na division 1 point 9, nikaona ngoja kwanza niendelee na mishe za kupanda mlima Kilimanjaro (nilikuwa porter) coz nyumbani kulikuwa empty na mimi ndio firstborn naangaliwa na maza.

Nimepiga hizo mishe mpaka mwaka juzi ndio nikaamua kurudi shule, kwa sasa niko chuo kikuu fulani DSM mwaka wa pili nasomea uhasibu.

Kama kuna mwenzangu amewahi kusoma elimu ya chuo akiwa mzee kama mimi karibu tushee experience.

Asante.
 
Hivi mbona uzee mnapenda sana hiyo 2009 ulikuwa 19 tu unasema ni mzee ????
Habari ndugu zangu,

Hata kwenye vitabu vitakatifu imeandikwa kamwe usimuache elimu aende zake. Huo ni msemo ambao ulikuwa una-sound mara kwa mara akilini mwangu. Kwa kifupi, mimi ni mwanaume wa miaka 30 kwa sasa, nilimaliza kidato cha sita mwaka 2009 nikiwa na umri wa miaka 19, niseme tu nimekulia katika maisha ya kilala hoi tu.

So baada ya matokeo ya form 6 kutoka nilikuwa na division 1 point 9, nikaona ngoja kwanza niendelee na mishe za kupanda mlima Kilimanjaro (nilikuwa porter) coz nyumbani kulikuwa empty na mimi ndio firstborn naangaliwa na maza.

Nimepiga hizo mishe mpaka mwaka juzi ndio nikaamua kurudi shule, kwa sasa niko chuo kikuu fulani DSM mwaka wa pili nasomea uhasibu.

Kama kuna mwenzangu amewahi kusoma elimu ya chuo akiwa mzee kama mimi karibu tushee experience.

Asante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ndugu zangu,

Hata kwenye vitabu vitakatifu imeandikwa kamwe usimuache elimu aende zake. Huo ni msemo ambao ulikuwa una-sound mara kwa mara akilini mwangu. Kwa kifupi, mimi ni mwanaume wa miaka 30 kwa sasa, nilimaliza kidato cha sita mwaka 2009 nikiwa na umri wa miaka 19, niseme tu nimekulia katika maisha ya kilala hoi tu.

So baada ya matokeo ya form 6 kutoka nilikuwa na division 1 point 9, nikaona ngoja kwanza niendelee na mishe za kupanda mlima Kilimanjaro (nilikuwa porter) coz nyumbani kulikuwa empty na mimi ndio firstborn naangaliwa na maza.

Nimepiga hizo mishe mpaka mwaka juzi ndio nikaamua kurudi shule, kwa sasa niko chuo kikuu fulani DSM mwaka wa pili nasomea uhasibu.

Kama kuna mwenzangu amewahi kusoma elimu ya chuo akiwa mzee kama mimi karibu tushee experience.

Asante.
Mimi ndio nataka jiunga university mwakaa huu na nini 30 teyari
 
𝒉𝒖𝒖 π’–π’›π’Š π’–π’Žπ’†π’‡π’–π’‡π’–π’Œπ’‚ π’‚π’Žπ’‚
 
𝑾𝒉𝒂𝒕 π’˜π’† π’π’π’π’Œ π’Šπ’” π’ˆπ’†π’π’†π’“π’‚π’•π’Šπ’π’ 𝒃𝒖𝒕 𝒏𝒐𝒕 𝒕𝒉𝒆 π’“π’‚π’π’ˆπ’†
 
Back
Top Bottom