kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,147
- 2,745
Habari ndugu zangu,
Hata kwenye vitabu vitakatifu imeandikwa kamwe usimuache elimu aende zake. Huo ni msemo ambao ulikuwa una-sound mara kwa mara akilini mwangu. Kwa kifupi, mimi ni mwanaume wa miaka 30 kwa sasa, nilimaliza kidato cha sita mwaka 2009 nikiwa na umri wa miaka 19, niseme tu nimekulia katika maisha ya kilala hoi tu.
So baada ya matokeo ya form 6 kutoka nilikuwa na division 1 point 9, nikaona ngoja kwanza niendelee na mishe za kupanda mlima Kilimanjaro (nilikuwa porter) coz nyumbani kulikuwa empty na mimi ndio firstborn naangaliwa na maza.
Nimepiga hizo mishe mpaka mwaka juzi ndio nikaamua kurudi shule, kwa sasa niko chuo kikuu fulani DSM mwaka wa pili nasomea uhasibu.
Kama kuna mwenzangu amewahi kusoma elimu ya chuo akiwa mzee kama mimi karibu tushee experience.
Asante.
Hata kwenye vitabu vitakatifu imeandikwa kamwe usimuache elimu aende zake. Huo ni msemo ambao ulikuwa una-sound mara kwa mara akilini mwangu. Kwa kifupi, mimi ni mwanaume wa miaka 30 kwa sasa, nilimaliza kidato cha sita mwaka 2009 nikiwa na umri wa miaka 19, niseme tu nimekulia katika maisha ya kilala hoi tu.
So baada ya matokeo ya form 6 kutoka nilikuwa na division 1 point 9, nikaona ngoja kwanza niendelee na mishe za kupanda mlima Kilimanjaro (nilikuwa porter) coz nyumbani kulikuwa empty na mimi ndio firstborn naangaliwa na maza.
Nimepiga hizo mishe mpaka mwaka juzi ndio nikaamua kurudi shule, kwa sasa niko chuo kikuu fulani DSM mwaka wa pili nasomea uhasibu.
Kama kuna mwenzangu amewahi kusoma elimu ya chuo akiwa mzee kama mimi karibu tushee experience.
Asante.