Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,538
- 34,862
Sio kweli...usiwadharau Watanzania kiasi hicho.Wabongo wengi wanataka walale alafu waamke kesho wakute wameletewa AMANI na Kigogo au Mange kimambi kwenye sshani.
Tanzania ipo kabla ya Mange na Kigogo kuwepo pia itaendelea kuwepo baada yao hivyo hao wawili hawawezi kuwa tegemeo kwa mamilioni ya Watanzania.