cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,768
- 73,435
Akishinda yeyote kwa HAKi ni sawa.. tatizo ni pale mtu anaposhinda kwa HILA na WIZi kinyume na matakwa ya wapiga kura
Kwahiyo unadai kura millioni zote zimeibwa.. eeeeeh.. zs nani haswa.. Rungwe au? Maana Lissu huyo hakuvutia wananchi.. zaidi ya kutembea kutalii na kuyojua kujinadi..
Chaguo la wananchi
Magufuli oyeeeee
💚💛💚💛💚