madmankache
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 836
- 586
bora umeanzisha huu uzi nitoe matakataka yamenikaba shingoni,,hapa nilipopanga kuna mpangaji mpya mwanamke, mke wa mtu na ana watoto wawili.daa huyu sister simwelewi ktk swala la kujisitiri muda mwimgi yeye anajifunga kitenge kimojaa kifuani kamaliza.leo nikawa nafua uwani yeye anaosha vyombo kainama mapaja yote nje,haha! daa ananipa shida sana namdindishia mke wa mtu na huu mwezi mtukufu.kama hii ndo life style yake bhas ntakuwa namkwepa hata kumuona maana me nikiona hata paja ndunga lazma isimame japo sipendi na ni fedhea kubwa halafu mme wake ni kijana mwenzangu japo ndo kaamia lakini naelewana nae vzuri ila mke wake ni careless ktk swala la kujisitiri kila siku anasababisha me nidindishe ovyoovyo ,ananitisha kwa kweli,kama ndo yupo hv