Simba wa teranga
Member
- Aug 5, 2017
- 36
- 22
Naomba kuuliza kwa mwenye ufahamu na hili
Naona watu wengi wanaosoma school of sopam mzumbe university kama bhsm ,bhrm,bpa na wengine hawajapewa hela ya field. Naomba kufahamishwa
Mimi nachukua health system management bhsm lakini no field money naomba kueleweahwa kwa hilii
Naona watu wengi wanaosoma school of sopam mzumbe university kama bhsm ,bhrm,bpa na wengine hawajapewa hela ya field. Naomba kufahamishwa
Mimi nachukua health system management bhsm lakini no field money naomba kueleweahwa kwa hilii