Tulioingia kwenye kilimo tukaangukia pua tukutane hapa

Mimi nililima hekari 40 za mpunga Ifakara (signal). Nilitumia milioni kumi lakini nilikuja kuvuna gunia 14 tu. Na hizo gunia 14 ndiyo pesa ya vibarua; mfano kukata, kukusanya, kupiga kupepeta, kununua viroba. Kwa ufupi ziliishia humo tu. Niliambulia kupata gunia moja la mpunga nikakoboa nikapata mchele kilo 70. Kesho yake nikapanda basi kurudi Dar Nikawaletea chakula tu kilichopatikana. Nipo Ilala nawaza bora ningefungua duka la spea, ILA YA MUNGU MENGI.
Kama ulikuwa ndio unaanza, ulilima hekari nyingi sana.. Pole mkuu
 
Nimesahau kuongezea nililima Tikikiti nilipata mkuu.wakaja madalali wa moro town wakataka tikikiti kubwa kwa 3000 na dogo kabisa kwa 1500.wakataka zote heka 3.Tamaa dalali wa dar kanipigia simu tikikiti dogo buku3 kubwa mpaka buku7.Kihehere nikaona bora nikauze dar.nikadaka fuso brother.Kuruka bongo daresalam.Nakuta tikiti zimemwagika kama mvua ya mawe.Dalali kaishiwa pozi akaniambia hali ndio hio.Nikauza hadi jero jero nikalipa fuso.Nikarudi zangu moro mpoole kama nimemwagiwa maji...Kama ningekua sina hajira ungekuta nimeshachanganyikiwa.


SHAMBA SIRUDI KAMWE.Nyie nendeni tu.Nawatakia mafanikio mema
Wewe tamaa zinakuponza hahahah
 
Kama ulikuwa ndio unaanza, ulilima hekari nyingi sana.. Pole mkuu
Tukipigiwa hesabu wazee wa fursa za PDF hua tunakurupuka sana ili tutoke mapema. Maana unaambiwa ekar 1 unapata faida million 10 kwa kuinvest million 1. Sasa mtu anaona atupie million 10 atusue 100 bila kua na uzoefu na shamba
 
Tukipigiwa hesabu wazee wa fursa za PDF hua tunakurupuka sana ili tutoke mapema. Maana unaambiwa ekar 1 unapata faida million 10 kwa kuinvest million 1. Sasa mtu anaona atupie million 10 atusue 100 bila kua na uzoefu na shamba
Duh! Nashukuru sijawahi kuingia kwa mkumbo wa wazee fursa za kilimo cha Tuma hela ya mbolea
 
Kilimo cha kusikia kwa watu na kufanya kimewaumiza watu wengi sana. Binafsi siamini katika kulima. Bora niwe mnunuzi wa wa mazao ya kilimo
 
Gharama zinafika 800k.. Mavuno gonia 18-20..bei ya gunia elfu 50..faida lak tu..na hapo n kama umetunza vizuri..duuh..hatari
Labda upambane kama masanja ulime, upaki Na usambaze mwenyewe kitaa ingawa bado ni kazi ngumu sana unaweza kukopwa nusu ya mzigo Na unaweza kuongeza gharama zingine za kusambaza nk
 
Kilimo ni kamali kama betting na wala si kama usemavyo nyanya ikiyouzwa tenga sh 2,000 mwezi wa 9.Haijamwagiliwa na mvua. Saiz wanasema nyanya ya march ndo inasoko sasa utaona ukifika march

Mkuu Nyanya March haitouzika? Vp kuhusu Janauary na February 2020?
 
Mkuu Nyanya March haitouzika? Vp kuhusu Janauary na February 2020?
Bei ya Nyanya haitabiriki mkuu kama mchezo wa betting. Juzi nilikua Shamba ingawa mm nalima mazao mengine nikawa napiga story Na wakulima wa nyanya. Wamesema ukitaka kukabiliana na changamoto ya bei lima ekari kuanzia 2 na utofautishe vipindu vya kupanda
 
Yes hakuna Risk bila tamaa.Je unafikiri kama yangeuzika vizuri dar ningepiga kiasi gani?Think
Achana na hayo mambo yange yange inge inge..wewe ndio mchaw wa pesa yako mwenyewe, ukiweza badilika hapo tu ww ni tajiri
 
Huwa naangalia bei za Mahindi pale Kibaigwa jinsi zinavopanda na kushuka kila baada ya ½ saa! Huwa nacheka sana!
Biashara ya mazao ya kilimo nayo inachangamoto zake;na source ya changamoto zote za kilimo zinasababishwa na sera mbaya ya kilimo ya kitaifa;na Pia hasa maamuzi mabaya ya viongozi watu!Ngoja nikupe experience yangu ndogo ya kuwa middleman kwenye mazao,Mwaka 2017 niliwekeza 7M kwenye kununua Mahindi kwa wakulima na lango lilikuwa ni kuyahifadhi na kuja kuyaudha baadae kwa faida hvyo nikatafuta sehemu ya storage na kulipia,Nika arrange transport kuyatoa shambani mpaka storage na vibarua wa kupakia na kupakua pamoja na gharama nyingine nk.;and offcourse kila kitu kikawa ok.And keep in mind kwamba faida unaipiga kwa gunia kulingana na kilo hvyo roughly katika mahesabu yangu gharama jumla ya kila gunia ilikuwa 55,000.During storage kuna gharama zake za kuya maintain na market value ya kugunia ilikuwa 70,000 ambapo kama ningeuza bei hii na kutoa gharama nyingine at least kila gunia nisingekosa chini ya 8'000 faida,after 2 months nikaona soko bei inaanza ku shake baada ya serikali kuzuia mahindi yasiuzwe nje;My friend ;kwenye soko la mazao saa moja linaweza kukupa ukichaa manake bei ya kilo asubuhi inaweza isiwe bei ya jion,gunia likashuka mpaka 52'000 na cost za kupambana na wadudu zikaaanza kupaa,baada ya 3 weeks gunia lilikuwa linaitafuta 40 na kitu na hapo sijamlipa dalali wala gharama nyingine plus energy lost sababu nilikuwa napambana nayo day and night;Nilichofanya nilimpigia simu dalali wa kuniuzia,nikatafuta na Fuso la kwenda kuyachukua storage nikamwagiza ndugu yangu akayasimamie kuuza sababu personally sikutaka kushuhudia matokeo ya hasara kwa macho yangu;nilikuwa very disappointed mnoo na kiukweli niliangukia Pua!Angalia wafanyabiashara wengine overnight walijikuta wanaamka maskini kutokana na serikali,hvyo bila serikali kuweka mipango bora ya kilimo maangamiz ya watu kwenye kilimo hayataisha.
 
Kuna mwaka niliweka ndani KARANGA maeneo ya Mpwapwa, niliwekeza 5m! Baada ya miezi 8, nakuja kuiProcess na kuuza! Kutoa gharama zote ikiwemo wabebaji, ushuru wa gate, transport! Shabash! Nlipata faida 350k na mind you storage ilikuwa bure! Km ningelipia storage manake ningeliwa!
Biashara ya mazao ya kilimo nayo inachangamoto zake;na source ya changamoto zote za kilimo zinasababishwa na sera mbaya ya kilimo ya kitaifa;na Pia hasa maamuzi mabaya ya viongozi watu!Ngoja nikupe experience yangu ndogo ya kuwa middleman kwenye mazao,Mwaka 2017 niliwekeza 7M kwenye kununua Mahindi kwa wakulima na lango lilikuwa ni kuyahifadhi na kuja kuyaudha baadae kwa faida hvyo nikatafuta sehemu ya storage na kulipia,Nika arrange transport kuyatoa shambani mpaka storage na vibarua wa kupakia na kupakua pamoja na gharama nyingine nk.;and offcourse kila kitu kikawa ok.And keep in mind kwamba faida unaipiga kwa gunia kulingana na kilo hvyo roughly katika mahesabu yangu gharama jumla ya kila gunia ilikuwa 55,000.During storage kuna gharama zake za kuya maintain na market value ya kugunia ilikuwa 70,000 ambapo kama ningeuza bei hii na kutoa gharama nyingine at least kila gunia nisingekosa chini ya 8'000 faida,after 2 months nikaona soko bei inaanza ku shake baada ya serikali kuzuia mahindi yasiuzwe nje;My friend ;kwenye soko la mazao saa moja linaweza kukupa ukichaa manake bei ya kilo asubuhi inaweza isiwe bei ya jion,gunia likashuka mpaka 52'000 na cost za kupambana na wadudu zikaaanza kupaa,baada ya 3 weeks gunia lilikuwa linaitafuta 40 na kitu na hapo sijamlipa dalali wala gharama nyingine plus energy lost sababu nilikuwa napambana nayo day and night;Nilichofanya nilimpigia simu dalali wa kuniuzia,nikatafuta na Fuso la kwenda kuyachukua storage nikamwagiza ndugu yangu akayasimamie kuuza sababu personally sikutaka kushuhudia matokeo ya hasara kwa macho yangu;nilikuwa very disappointed mnoo na kiukweli niliangukia Pua!Angalia wafanyabiashara wengine overnight walijikuta wanaamka maskini kutokana na serikali,hvyo bila serikali kuweka mipango bora ya kilimo maangamiz ya watu kwenye kilimo hayataisha.
 
Mmmh kilimo cha pdf vs kilimo cha field
Teh kaka hapo tatzo halipo ukiondoa issue iliyokupata kwenye tikit, sema kama ulivyosema mshauri shetani. Twende tena kaka, usikate tamaa. Usimamizi na aina ya ulimaji ni jambo la maana sana kuzingatia ili kupunguza gharama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom