Tulioingia kwenye kilimo tukaangukia pua tukutane hapa

Mimi nilishapigwa na kilimo kwasasa sina ham nacho kabisa,ninachokifanya nachukua mazao kwa mkulima then nayaweka store bei ikipanda nauza.
MKUU nataka mwakani ninunue mpunga niuweke nisubir bei ipande, ila kuna watu wananishaur nilime mwenyew hâta hivyo sina uzoefu nacho. Naomba ushaur bora kipi ?
Pia naomba ushaur Hv ukiwa na stoo hapa Dar ukasambaza mpunga kwa jumla unalipa ?
 
MKUU nataka mwakani ninunue mpunga niuweke nisubir bei ipande, ila kuna watu wananishaur nilime mwenyew hâta hivyo sina uzoefu nacho. Naomba ushaur bora kipi ?
Pia naomba ushaur Hv ukiwa na stoo hapa Dar ukasambaza mpunga kwa jumla unalipa ?
Inalipa mkuu ila inabidi uwaandae wale ma dealer wakubwa wa mchela kuwa utawasambazia wao then baada labda ya wiki mbili upitie hela yako huwa hawalipi cash nao wanategemea hadi wauze
 
MKUU nataka mwakani ninunue mpunga niuweke nisubir bei ipande, ila kuna watu wananishaur nilime mwenyew hâta hivyo sina uzoefu nacho. Naomba ushaur bora kipi ?
Pia naomba ushaur Hv ukiwa na stoo hapa Dar ukasambaza mpunga kwa jumla unalipa ?
Hata hiyo ya kununua mazao usiingie kwa pupa anza taratibu ikiwa kama sehem ya kujifunza. Mkiambiwaga kua gunia moja unapata faida elf 50 basi kwa tamaa mtu anatupia million 10 ili apige 30. Kuna changamoto ya kuuziwa mpunga ambao sokon hauna wateja ukaja baki Na mzigo stoo au ukauza kwa hasara
 
MKUU nataka mwakani ninunue mpunga niuweke nisubir bei ipande, ila kuna watu wananishaur nilime mwenyew hâta hivyo sina uzoefu nacho. Naomba ushaur bora kipi ?
Pia naomba ushaur Hv ukiwa na stoo hapa Dar ukasambaza mpunga kwa jumla unalipa ?
bora kununua aisee
 
Kunaitwa NDUNGU mkuu unaingilia hapa mombo nimefika kote kule hadi gonja ila nimeuliza nimeambiwa ule mchele sio mtam kama wa kyela na ifakara ni mbegu za kijapan
Huko SAME boda 1 ambalo ni heka kasorobo wanakodisha laki 3. Gharama za maji laki na 20. Mbolea mifuko 2 laki 1. Mbegu na wapandaji(watulizaji elf 70) dawa ya magugu elf 60. Kodi ya ushirika elf 60.
Ukivuna kwa mashine andalaa elf 70 mpk 80. Mfuko mtupu 800 mpk 100 each. Bado storage.
Msimu uliopita Gunia la debe 6 limeuzwa elf 50.
Piga hesabu zako uone italipa.?
Msimu wote utakula kambare na ugali mpk ulimi upoteze ladha manakw lzm ukomae mwenyewe mwanzo mwisho.
 
Hakuna Sehemu isiyo na changamoto, ni kaburini tu
Nani kasema kaburini hakuna changamoto Kawe?
Usidanganywe bro. Changamoto mwanzo mwisho.
Pesa iko shambani. Tatizo watanzania wengi hawana mitaji na wanalima kilimo cha kimaskini.
Jembe la mkono utalima heka ngapi?
Tractor za kukodi shida. Wakati wa palizi na mavuno shida kubwa zaidi.
Ukija kwenye masoko ndio balaa kabisa.
Km una mtaji mdogo Bora ufungue kiosk cha soda. Mtaji ukiongezeka ingia shamba
 
Change can not be an over night action brother
Pole pole tutafikia malengo
Nani kasema kaburini hakuna changamoto Kawe?
Usidanganywe bro. Changamoto mwanzo mwisho.
Pesa iko shambani. Tatizo watanzania wengi hawana mitaji na wanalima kilimo cha kimaskini.
Jembe la mkono utalima heka ngapi?
Tractor za kukodi shida. Wakati wa palizi na mavuno shida kubwa zaidi.
Ukija kwenye masoko ndio balaa kabisa.
Km una mtaji mdogo Bora ufungue kiosk cha soda. Mtaji ukiongezeka ingia shamba
 
Mimi nililima mpunga heka kumi ukakubali kweli kweli shamba lilikua langu bwana bwana kukaa hivi napigiwa simu wasukuma wameingiza ng'ombe usiku wamekula shamba lote aisee nilidata. Alafu washenzi wale wamehonga polisi ukienda kushtaki unapigwa danadana tu nilitamani nikapige risasi ng'ombe wote. Morogoro iyo
Pole sana aisee,ulilimia mkoa gani?
 
Huko SAME boda 1 ambalo ni heka kasorobo wanakodisha laki 3. Gharama za maji laki na 20. Mbolea mifuko 2 laki 1. Mbegu na wapandaji(watulizaji elf 70) dawa ya magugu elf 60. Kodi ya ushirika elf 60.
Ukivuna kwa mashine andalaa elf 70 mpk 80. Mfuko mtupu 800 mpk 100 each. Bado storage.
Msimu uliopita Gunia la debe 6 limeuzwa elf 50.
Piga hesabu zako uone italipa.?
Msimu wote utakula kambare na ugali mpk ulimi upoteze ladha manakw lzm ukomae mwenyewe mwanzo mwisho.
ha ha ha ha ha ha
 
Pole sana aisee,ulilimia mkoa gani?
morogoro mkuu sina hamu lile shamba nimelisusa ila kuna mdau kanifundisha mbinu za asali kupaka kwenye majani ntajalibu tena safari hii ila niliumia sana heka kumi mkuu mpunga ulikubali hatari
 
Mimi nililima hekari 40 za mpunga Ifakara (signal). Nilitumia milioni kumi lakini nilikuja kuvuna gunia 14 tu. Na hizo gunia 14 ndiyo pesa ya vibarua; mfano kukata, kukusanya, kupiga kupepeta, kununua viroba. Kwa ufupi ziliishia humo tu. Niliambulia kupata gunia moja la mpunga nikakoboa nikapata mchele kilo 70. Kesho yake nikapanda basi kurudi Dar Nikawaletea chakula tu kilichopatikana. Nipo Ilala nawaza bora ningefungua duka la spea, ILA YA MUNGU MENGI.
Pole sana kk
 
Huko SAME boda 1 ambalo ni heka kasorobo wanakodisha laki 3. Gharama za maji laki na 20. Mbolea mifuko 2 laki 1. Mbegu na wapandaji(watulizaji elf 70) dawa ya magugu elf 60. Kodi ya ushirika elf 60.
Ukivuna kwa mashine andalaa elf 70 mpk 80. Mfuko mtupu 800 mpk 100 each. Bado storage.
Msimu uliopita Gunia la debe 6 limeuzwa elf 50.
Piga hesabu zako uone italipa.?
Msimu wote utakula kambare na ugali mpk ulimi upoteze ladha manakw lzm ukomae mwenyewe mwanzo mwisho.
Wastan wa heka inatoa gunia ngapi
 
Huko SAME boda 1 ambalo ni heka kasorobo wanakodisha laki 3. Gharama za maji laki na 20. Mbolea mifuko 2 laki 1. Mbegu na wapandaji(watulizaji elf 70) dawa ya magugu elf 60. Kodi ya ushirika elf 60.
Ukivuna kwa mashine andalaa elf 70 mpk 80. Mfuko mtupu 800 mpk 100 each. Bado storage.
Msimu uliopita Gunia la debe 6 limeuzwa elf 50.
Piga hesabu zako uone italipa.?
Msimu wote utakula kambare na ugali mpk ulimi upoteze ladha manakw lzm ukomae mwenyewe mwanzo mwisho.
Ongeza gharama hizi
Kusafisha Shamba
Kulima
Kutengeneza jaruba
Vibarua kuweka mbolea
Kusafirisha mpunga kutoka Shamba mpaka stop
Gharama za Kijana kulinda ndege
Chakula cha Kijana wa Shamba anayelinda ndege
 
Kama nitaamua kuingia siku kwenye kilimo basi nitakuwa middle man

Siku zote middle man ndio wanaopiga hela za ukweli

Soon nitaibuka kilombero na kyela kwenda kuchukua Gunia za mpunga za kutosha niweke stock nihold Hadi bei ipande nipige hela .
Biashara ya mazao ya kilimo nayo inachangamoto zake;na source ya changamoto zote za kilimo zinasababishwa na sera mbaya ya kilimo ya kitaifa;na Pia hasa maamuzi mabaya ya viongozi watu!Ngoja nikupe experience yangu ndogo ya kuwa middleman kwenye mazao,Mwaka 2017 niliwekeza 7M kwenye kununua Mahindi kwa wakulima na lango lilikuwa ni kuyahifadhi na kuja kuyaudha baadae kwa faida hvyo nikatafuta sehemu ya storage na kulipia,Nika arrange transport kuyatoa shambani mpaka storage na vibarua wa kupakia na kupakua pamoja na gharama nyingine nk.;and offcourse kila kitu kikawa ok.And keep in mind kwamba faida unaipiga kwa gunia kulingana na kilo hvyo roughly katika mahesabu yangu gharama jumla ya kila gunia ilikuwa 55,000.During storage kuna gharama zake za kuya maintain na market value ya kugunia ilikuwa 70,000 ambapo kama ningeuza bei hii na kutoa gharama nyingine at least kila gunia nisingekosa chini ya 8'000 faida,after 2 months nikaona soko bei inaanza ku shake baada ya serikali kuzuia mahindi yasiuzwe nje;My friend 😆😆😆;kwenye soko la mazao saa moja linaweza kukupa ukichaa manake bei ya kilo asubuhi inaweza isiwe bei ya jion,gunia likashuka mpaka 52'000 na cost za kupambana na wadudu zikaaanza kupaa,baada ya 3 weeks gunia lilikuwa linaitafuta 40 na kitu na hapo sijamlipa dalali wala gharama nyingine plus energy lost sababu nilikuwa napambana nayo day and night;Nilichofanya nilimpigia simu dalali wa kuniuzia,nikatafuta na Fuso la kwenda kuyachukua storage nikamwagiza ndugu yangu akayasimamie kuuza sababu personally sikutaka kushuhudia matokeo ya hasara kwa macho yangu;nilikuwa very disappointed mnoo na kiukweli niliangukia Pua!Angalia wafanyabiashara wengine overnight walijikuta wanaamka maskini kutokana na serikali,hvyo bila serikali kuweka mipango bora ya kilimo maangamiz ya watu kwenye kilimo hayataisha.
 
Nimefarijika sana kukutana na huu uzi! Mimi mwaka jana nilijichanga sana pesa yangu ya boom baada kumaliza mwaka wa kwanza tu, nikaituma kijijini nikalima mahindi ekari 2. Aise nikaangukia pua! Nilivuna gunia 3 pekee nikauza. Nikaona labda usimamizi ulikuwa mbaya. Nikapambana tena nikakusanya 800k nimeenda mwaka huu nimepanda miche ya machungwa ya kisasa kama 100 na nimeanzisha mradi wa nguruwe. Hapa nasikilizia ila bado nipo chuoni mwaka 3 sasa. Kikubwa Mungu
 
Biashara ya mazao ya kilimo nayo inachangamoto zake;na source ya changamoto zote za kilimo zinasababishwa na sera mbaya ya kilimo ya kitaifa;na Pia hasa maamuzi mabaya ya viongozi watu!Ngoja nikupe experience yangu ndogo ya kuwa middleman kwenye mazao,Mwaka 2017 niliwekeza 7M kwenye kununua Mahindi kwa wakulima na lango lilikuwa ni kuyahifadhi na kuja kuyaudha baadae kwa faida hvyo nikatafuta sehemu ya storage na kulipia,Nika arrange transport kuyatoa shambani mpaka storage na vibarua wa kupakia na kupakua pamoja na gharama nyingine nk.;and offcourse kila kitu kikawa ok.And keep in mind kwamba faida unaipiga kwa gunia kulingana na kilo hvyo roughly katika mahesabu yangu gharama jumla ya kila gunia ilikuwa 55,000.During storage kuna gharama zake za kuya maintain na market value ya kugunia ilikuwa 70,000 ambapo kama ningeuza bei hii na kutoa gharama nyingine at least kila gunia nisingekosa chini ya 8'000 faida,after 2 months nikaona soko bei inaanza ku shake baada ya serikali kuzuia mahindi yasiuzwe nje;My friend 😆😆😆;kwenye soko la mazao saa moja linaweza kukupa ukichaa manake bei ya kilo asubuhi inaweza isiwe bei ya jion,gunia likashuka mpaka 52'000 na cost za kupambana na wadudu zikaaanza kupaa,baada ya 3 weeks gunia lilikuwa linaitafuta 40 na kitu na hapo sijamlipa dalali wala gharama nyingine plus energy lost sababu nilikuwa napambana nayo day and night;Nilichofanya nilimpigia simu dalali wa kuniuzia,nikatafuta na Fuso la kwenda kuyachukua storage nikamwagiza ndugu yangu akayasimamie kuuza sababu personally sikutaka kushuhudia matokeo ya hasara kwa macho yangu;nilikuwa very disappointed mnoo na kiukweli niliangukia Pua!Angalia wafanyabiashara wengine overnight walijikuta wanaamka maskini kutokana na serikali,hvyo bila serikali kuweka mipango bora ya kilimo maangamiz ya watu kwenye kilimo hayataisha.
Hakuna game rahisi aisee
 
Nimefarijika sana kukutana na huu uzi! Mimi mwaka jana nilijichanga sana pesa yangu ya boom baada kumaliza mwaka wa kwanza tu, nikaituma kijijini nikalima mahindi ekari 2. Aise nikaangukia pua! Nilivuna gunia 3 pekee nikauza. Nikaona labda usimamizi ulikuwa mbaya. Nikapambana tena nikakusanya 800k nimeenda mwaka huu nimepanda miche ya machungwa ya kisasa kama 100 na nimeanzisha mradi wa nguruwe. Hapa nasikilizia ila bado nipo chuoni mwaka 3 sasa. Kikubwa Mungu
Hakuna kukata tamaa kwenye kilimo unaweza kupiga hasara hata misimu minne
 
Ulivyofika dodoma na tikiti mambo yalivyobadilika,ungekua mbunifu na kua na plan b ,ungepiga ela nzuri sana,.mfano bila kua na aibu unasambaza mwenyewe kitaa reja reja Miki kwa moko, mengine unakata vipande,unatafuta goli unaweka mzigo chini,unaenda kwenye mahotel kutafuta soko, ,Yani mji mzima tikiti zao zingeenea
kumbuka yana life span yaani kuna muda, maalum wa, kuyatunza, dhoruba na mikiki mikiki ya, kusafirusha+uenyeji, figisu za wauzaji wenzako kwenye mamlaka, manpower maana huwezi kusimamia kila kitu yaani kupakua kwenye lori kubwa, weka kwenye toroli, tandaza turubai, uza, kata vipande, peleka hotel, sokoni kiufupi sio kazi ya sik 3. yataoza na utaishia selo kuwatumikisha watu bila kuwalipa.

kilimo na biashara za kuambiwa mzisikie tu jamani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom