<font size="3"><strong>tumemaliza chuo na sasa tupo mtaani lakini tunalia na ajira kila kukicha utatuona na baasha mkononi lakini wapi! mliopo chuoni na mnotalajia kujiunga na vyuo angaline course za kusoma.</strong></font>
Aliyekwambia kumaliza chuo lazima uajiriwe ni nani? kuna kujiajiri pia! Tatizo tulionalo vijana wakitanzania ni kufikiri kuwa ulichosomea ndo hicho tu unatakiwa ukifanyie kazi, nenda hata kwenye mahotel fanyakazi ya kuosha vyombo, kupiga deki na shughuri nyigine nyingi tu wakati unasubirli hiyo kazi nyingine, usisahau hakuna serkali makini hapa ya kutengeza ajira kwa vijana zaidi ya kujiangalia wenyewe.... pole sana mdogo wangu jichanganye na shughu yoyote itakayokuja mbeya yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.