Tuliomaliza chuo tunalia na ajira mtaani

MWL MTZ

Member
Aug 12, 2011
39
2
<font size="3"><strong>tumemaliza chuo na sasa tupo mtaani lakini tunalia na ajira kila kukicha utatuona na baasha mkononi lakini wapi! mliopo chuoni na mnotalajia kujiunga na vyuo angaline course za kusoma.</strong></font>
 
<font size="3"><strong>tumemaliza chuo na sasa tupo mtaani lakini tunalia na ajira kila kukicha utatuona na baasha mkononi lakini wapi! Mliopo chuoni na mnotalajia kujiunga na vyuo angaline course za kusoma.</strong></font>
usikate tamaa utafanikiwa tu bwana mdogo!!!
 
<font size="3"><strong>tumemaliza chuo na sasa tupo mtaani lakini tunalia na ajira kila kukicha utatuona na baasha mkononi lakini wapi! mliopo chuoni na mnotalajia kujiunga na vyuo angaline course za kusoma.</strong></font>
POle Sana. hili ni tatizo la mtizamo wa elimu yetu, kwa kuwaandaa wanafunzi kuajiriwa baada ya kuwaandaa ili wajiajiri wenyewe. Kama mngekua mmeandaliwa kujiajiri wenyewe swala la kusubiri ajira usingesumbuka nalo. Ungekua tayari una Idea yako ya kujiajiri na tatizo lingekua vipi auanze na ungekuja na hiyo idea watu wangekuelekeza jinsi gani ya kupata mtaji kutokana na nini unachotaka kufanya. Kumbuka wahitimu sasa ni wengi na ofisi ni chache za kutoa ajira hivyo badili mtizamo wako katika hilo.
 
jamani hili tatizo la ajira wasomi wakitanzania limeanza kuota sugu sana na nafikiri hii ni time bomb ya hii serikali yetu kwa kweli ndio tutaongeza matapeli wezi wa kutumia karatasi mtaani . ni kweli mtaala w a ELIMU YETU UNATUANDAA SISI WASOMI WENGI WA KITANZANIA KUFANYA KAZI ZA KUAJIRIWA(WHITE COLLAR JOBS) KULIKO KAZI ZA KUJIARI BINAFSI ,NI SAWA LAKINI PIA TULITIZAME HILI SUALA KWA KINA SIO KILA MTU ANAWEZA KUJIARI MWENYEWE KWA SABABU NYINGI (mitaji,familia anayotoka, kozi aliyosoma nk). TU KITIZAMA MATAIFA MENGI MWAJIRI MKUBWA NI SERIKALI SASA SERIKALI YETU HAINA MIKAKATI KATIKA KUTENGENEZA AJIRA KWA AJILI YA RAIA WAKE .TATIZO JINGINE AMBALO KWA KWELI HILI NAOMBA VIJANA WENZANGU NA WASOMI WENGI TUJITAHIDI KUWA ELIMISHA WADOGO ZETU UCHAGUZI WA KOZI PINDI WAWAPO SEKONDARI TUNAJUA WENGI WETU TUNATOKA FAMILIA MASKINI WASOMI NI WACHACHE UNAKUTA UNAJIONGOZA MWENYEWE MPAKA UNAFIKA A LEVEL HUJUI UTASOMA NINI CHUO SASA UKIFIKA A LEVEL UNAKUTANA NA HADITHI ZA BCOM, TELECOMUNICATION COMPUTER SCIENCE , IT , BAF ,SOCIOLOGY , LAW (kwamba hizi kozi zina makert) NA WEWE BILA KUPATA USHAURI UNAINGIA KWENYE MKUMBO YAWEZEKANA UFAHAMU HILO SIO KOSA LAKO NI KOSA LA KIMFUMO NAWEZA KUKUPA MFANO MWAKA AMBAO MIMI NILIDAHILIWA CHUO KIKUU KUNA KOZI KAMA TELECOMUNICATION ENGINEERING INAWANAFUNZI 10-15 WAMZUMBE , 10 KIBAHA, 5-10 ILBORU KWELI HAWA WOTE WANAENDA TELECOM KWA KUIFAHAMU AU KWA SABABU INA CUT OFF KUBWA ILI AKAENDELEZE UTABE WAKE HUKO CHUO BILA KUZINGATIA HATIMA YA MAISHA YAKE?
nina mifano ya kozi kama telecom mwanzoni mwa miaka ya 2000 -2007 mwajiri mkubwa kwa wahandisi hawa walikuwa makampuni ya simu ,sasa makampuni ya simu yameamua kuOUTSOURCE karibia kazi zake nyingi za technical kwa makampuni madogo amabayo hayatumii wahandisi kwa sababu ni gharama kumlipa baadale wanatumia technician
YAWEZEKANA BCOM, BAF BBA,TELECOM, LAW ZINALIPA ,LAKINI JE UWEZI KUSOMA KOZI KAMA PROCUREMENT, LOGISTIC, ZOOLOGY, MECHANICAL, ELECTRICAL ,CIVIL, URBAN AND RURAL, QUANTITY SURVEY EDUCATION UKATOKA KIMAISHA
NI KWELI AJIRA NI NGUMU SANA MATATIZO HAYA KWA MTAZAMO WANGU YAPELEKEA SANA HILI TATIZO KUWA SUGU
I. SERIKALI ISIYO NA MIKAKATI
II. UCHAGUZI WA KOZI ZA KUSOMA VYUONI
III. MTAALA WA ELIMU YA KITANZANIA
MSIKATE TAMAA NDUGU ZANGU TAIFA HILI LINA WASOMI WACHACHE LAKINI WADHARAULIWA SANA JITAHIDI KUJIPANGA AMSHA AKILI JARIBUNI KUWA VENTURE MFANYE WALAU BIASHARA NDOGO TUTOKE TUTAFIKA TU MAANA MANTIKI YA KWANZA YA KWENDA SHULE NI KUKOMBOKA KIFIKRA
NAWASILISHA
 
jamani hili tatizo la ajira wasomi wakitanzania limeanza kuota sugu sana na nafikiri hii ni time bomb ya hii serikali yetu kwa kweli ndio tutaongeza matapeli wezi wa kutumia karatasi mtaani . ni kweli mtaala w a ELIMU YETU UNATUANDAA SISI WASOMI WENGI WA KITANZANIA KUFANYA KAZI ZA KUAJIRIWA(WHITE COLLAR JOBS) KULIKO KAZI ZA KUJIARI BINAFSI ,NI SAWA LAKINI PIA TULITIZAME HILI SUALA KWA KINA SIO KILA MTU ANAWEZA KUJIARI MWENYEWE KWA SABABU NYINGI (mitaji,familia anayotoka, kozi aliyosoma nk). TU KITIZAMA MATAIFA MENGI MWAJIRI MKUBWA NI SERIKALI SASA SERIKALI YETU HAINA MIKAKATI KATIKA KUTENGENEZA AJIRA KWA AJILI YA RAIA WAKE .TATIZO JINGINE AMBALO KWA KWELI HILI NAOMBA VIJANA WENZANGU NA WASOMI WENGI TUJITAHIDI KUWA ELIMISHA WADOGO ZETU UCHAGUZI WA KOZI PINDI WAWAPO SEKONDARI TUNAJUA WENGI WETU TUNATOKA FAMILIA MASKINI WASOMI NI WACHACHE UNAKUTA UNAJIONGOZA MWENYEWE MPAKA UNAFIKA A LEVEL HUJUI UTASOMA NINI CHUO SASA UKIFIKA A LEVEL UNAKUTANA NA HADITHI ZA BCOM, TELECOMUNICATION COMPUTER SCIENCE , IT , BAF ,SOCIOLOGY , LAW (kwamba hizi kozi zina makert) NA WEWE BILA KUPATA USHAURI UNAINGIA KWENYE MKUMBO YAWEZEKANA UFAHAMU HILO SIO KOSA LAKO NI KOSA LA KIMFUMO NAWEZA KUKUPA MFANO MWAKA AMBAO MIMI NILIDAHILIWA CHUO KIKUU KUNA KOZI KAMA TELECOMUNICATION ENGINEERING INAWANAFUNZI 10-15 WAMZUMBE , 10 KIBAHA, 5-10 ILBORU KWELI HAWA WOTE WANAENDA TELECOM KWA KUIFAHAMU AU KWA SABABU INA CUT OFF KUBWA ILI AKAENDELEZE UTABE WAKE HUKO CHUO BILA KUZINGATIA HATIMA YA MAISHA YAKE?
nina mifano ya kozi kama telecom mwanzoni mwa miaka ya 2000 -2007 mwajiri mkubwa kwa wahandisi hawa walikuwa makampuni ya simu ,sasa makampuni ya simu yameamua kuOUTSOURCE karibia kazi zake nyingi za technical kwa makampuni madogo amabayo hayatumii wahandisi kwa sababu ni gharama kumlipa baadale wanatumia technician
YAWEZEKANA BCOM, BAF BBA,TELECOM, LAW ZINALIPA ,LAKINI JE UWEZI KUSOMA KOZI KAMA PROCUREMENT, LOGISTIC, ZOOLOGY, MECHANICAL, ELECTRICAL ,CIVIL, URBAN AND RURAL, QUANTITY SURVEY EDUCATION UKATOKA KIMAISHA
NI KWELI AJIRA NI NGUMU SANA MATATIZO HAYA KWA MTAZAMO WANGU YAPELEKEA SANA HILI TATIZO KUWA SUGU
I. SERIKALI ISIYO NA MIKAKATI
II. UCHAGUZI WA KOZI ZA KUSOMA VYUONI
III. MTAALA WA ELIMU YA KITANZANIA
MSIKATE TAMAA NDUGU ZANGU TAIFA HILI LINA WASOMI WACHACHE LAKINI WADHARAULIWA SANA JITAHIDI KUJIPANGA AMSHA AKILI JARIBUNI KUWA VENTURE MFANYE WALAU BIASHARA NDOGO TUTOKE TUTAFIKA TU MAANA MANTIKI YA KWANZA YA KWENDA SHULE NI KUKOMBOKA KIFIKRA
NAWASILISHA

hawa ndo ma-great thinkers sasa, good discription. Nimependa.
 
Naifahamu hiyo challenge ndugu yangu kwani hata mimi nimewahi kukutana nayo wakati fulani, but kwa ufupi hebu nenda na CV yaho pale TAeSA watakusaidia, ila pia usiache kutembelea tovuti za ajira kama vile Tanzania Directory for Business, Entertainment & Travel Info. Usijali you will make it.
<font size="3"><strong>tumemaliza chuo na sasa tupo mtaani lakini tunalia na ajira kila kukicha utatuona na baasha mkononi lakini wapi! mliopo chuoni na mnotalajia kujiunga na vyuo angaline course za kusoma.</strong></font>
 
Njoo kiwanja 'upige box' babu,uta make dolari kuwashinda wale maprof wako walokuwa wanakubania.Kama vipi niPM nikupe mchongo.Lakini uwe umesoma kozi yenye akili siyo
 
Njoo kiwanja 'upige box' babu,uta make dolari kuwashinda wale maprof wako walokuwa wanakubania.Kama vipi niPM nikupe mchongo.Lakini uwe umesoma kozi yenye akili siyo

mwenzio kasoma political sciance.
 
Enhee Ndugu, Hilo Tatizo la Ajira ni kubwa sana Tanzania.

Nguvu Kazi ya Vijana inapotea bure wakati uchumi wa Tanzania unaporomoka. Just compare our TShs with US $.

Tatizo ni kuwa hakuna ubunifu katika serikali, Mh Mary Nagu yuko Wizara ya Uwezeshaji ila sijawahi kusikia wakiwa na mkakati wa kuwawezesha Vijana na wawekezaji WAZAWA.

Kila muda tunataka wawekezaji tu wa nje. Kungekuwa na mkakati maalumu wa kuwapa vijana wetu elimu ya ujasiriliamali (entrepreneurship) ili na kuwawezesha katika nyanja zote kama kilimo (agriculture), usindikaji (agro processing), biashara za kimataifa (Agro export) na zaidi.

Vijana wangezalisha, ajira zingepatikana, uchumi ungekuwa. Sina la zaidi ila soma hapa zaidi :--- https://www.jamiiforums.com/busines...ls-tanzania-na-shillingi-yetu-kuporomoka.html
 
Relief kasema kweli na katoa pendenkezo zuri fuata hilo, kila taaluma inahitajika kwa wingi cha muhimu waliopo makazini wakifikia kustaafu waende nyumbani wapishe wengine, wenye mvi za uzee siyo za kurithi wanaongezeka ofisini, japo sababu kubwa ni kuwa na mafao hafifu wakati wa kustaafu. Ziboreshwe packages za wastaafu ili wasitamani kubaki ofisini wawapishe watoto wao. Ila na wale watafuatao ajira angalieni vyeti vyenu isije ikawa vile vya Kibaha na wengi tunajifelisha wenyewe wakati wa usaili hatujui taaluma ya kusailiwa, poleni Mungu yupo
 
<font size="3"><strong>tumemaliza chuo na sasa tupo mtaani lakini tunalia na ajira kila kukicha utatuona na baasha mkononi lakini wapi! mliopo chuoni na mnotalajia kujiunga na vyuo angaline course za kusoma.</strong></font>

Pole sana mkuu. Wengine tumepitia hiyo balaa ya kuzunguka hapo mjini na bahasha sijui folders imejaa resumes, ajira hakuna, kujiajiri mwenyewe mtaji sina, kiatu soli ikaisha nikatembelea kandambili, nauli ya daladala ikawa sina, pa kukaa sina na njaa ndio usiseme. Karibu uje kupiga box kaka. Box halimtupi mtu
 
jamani hili tatizo la ajira wasomi wakitanzania limeanza kuota sugu sana na nafikiri hii ni time bomb ya hii serikali yetu kwa kweli ndio tutaongeza matapeli wezi wa kutumia karatasi mtaani . ni kweli mtaala w a ELIMU YETU UNATUANDAA SISI WASOMI WENGI WA KITANZANIA KUFANYA KAZI ZA KUAJIRIWA(WHITE COLLAR JOBS) KULIKO KAZI ZA KUJIARI BINAFSI ,NI SAWA LAKINI PIA TULITIZAME HILI SUALA KWA KINA SIO KILA MTU ANAWEZA KUJIARI MWENYEWE KWA SABABU NYINGI (mitaji,familia anayotoka, kozi aliyosoma nk). TU KITIZAMA MATAIFA MENGI MWAJIRI MKUBWA NI SERIKALI SASA SERIKALI YETU HAINA MIKAKATI KATIKA KUTENGENEZA AJIRA KWA AJILI YA RAIA WAKE .TATIZO JINGINE AMBALO KWA KWELI HILI NAOMBA VIJANA WENZANGU NA WASOMI WENGI TUJITAHIDI KUWA ELIMISHA WADOGO ZETU UCHAGUZI WA KOZI PINDI WAWAPO SEKONDARI TUNAJUA WENGI WETU TUNATOKA FAMILIA MASKINI WASOMI NI WACHACHE UNAKUTA UNAJIONGOZA MWENYEWE MPAKA UNAFIKA A LEVEL HUJUI UTASOMA NINI CHUO SASA UKIFIKA A LEVEL UNAKUTANA NA HADITHI ZA BCOM, TELECOMUNICATION COMPUTER SCIENCE , IT , BAF ,SOCIOLOGY , LAW (kwamba hizi kozi zina makert) NA WEWE BILA KUPATA USHAURI UNAINGIA KWENYE MKUMBO YAWEZEKANA UFAHAMU HILO SIO KOSA LAKO NI KOSA LA KIMFUMO NAWEZA KUKUPA MFANO MWAKA AMBAO MIMI NILIDAHILIWA CHUO KIKUU KUNA KOZI KAMA TELECOMUNICATION ENGINEERING INAWANAFUNZI 10-15 WAMZUMBE , 10 KIBAHA, 5-10 ILBORU KWELI HAWA WOTE WANAENDA TELECOM KWA KUIFAHAMU AU KWA SABABU INA CUT OFF KUBWA ILI AKAENDELEZE UTABE WAKE HUKO CHUO BILA KUZINGATIA HATIMA YA MAISHA YAKE?
nina mifano ya kozi kama telecom mwanzoni mwa miaka ya 2000 -2007 mwajiri mkubwa kwa wahandisi hawa walikuwa makampuni ya simu ,sasa makampuni ya simu yameamua kuOUTSOURCE karibia kazi zake nyingi za technical kwa makampuni madogo amabayo hayatumii wahandisi kwa sababu ni gharama kumlipa baadale wanatumia technician
YAWEZEKANA BCOM, BAF BBA,TELECOM, LAW ZINALIPA ,LAKINI JE UWEZI KUSOMA KOZI KAMA PROCUREMENT, LOGISTIC, ZOOLOGY, MECHANICAL, ELECTRICAL ,CIVIL, URBAN AND RURAL, QUANTITY SURVEY EDUCATION UKATOKA KIMAISHA
NI KWELI AJIRA NI NGUMU SANA MATATIZO HAYA KWA MTAZAMO WANGU YAPELEKEA SANA HILI TATIZO KUWA SUGU
I. SERIKALI ISIYO NA MIKAKATI
II. UCHAGUZI WA KOZI ZA KUSOMA VYUONI
III. MTAALA WA ELIMU YA KITANZANIA
MSIKATE TAMAA NDUGU ZANGU TAIFA HILI LINA WASOMI WACHACHE LAKINI WADHARAULIWA SANA JITAHIDI KUJIPANGA AMSHA AKILI JARIBUNI KUWA VENTURE MFANYE WALAU BIASHARA NDOGO TUTOKE TUTAFIKA TU MAANA MANTIKI YA KWANZA YA KWENDA SHULE NI KUKOMBOKA KIFIKRA
NAWASILISHA

kaka umemaliza telecom mwaka gani pale udsm??? me nshawashauri madogo mpaka natamani kulia but hawaelewi wakishapata marks kubwa wanataka wasome TE.....ajira huku ngumu ingawa si kivile problem nw ni mshahara zaidi....my advice if upo telecom tayari jitahid kubase kwenye IT kidogo piga programming PHP, MySQL, javA web designing, na mengine mengi...kazi za site c lelemama
 
kaka umemaliza telecom mwaka gani pale udsm??? me nshawashauri madogo mpaka natamani kulia but hawaelewi wakishapata marks kubwa wanataka wasome TE.....ajira huku ngumu ingawa si kivile problem nw ni mshahara zaidi....my advice if upo telecom tayari jitahid kubase kwenye IT kidogo piga programming PHP, MySQL, javA web designing, na mengine mengi...kazi za site c lelemama
mimi nimemaliza electrical pale mkuu ila naona my collegue wanavyosafa kitaa na hiyo course bad enough ni watu walliokuwa na uwezo mzuri darasani , usichoke kuwaelimisha madogo maana mbele ya safari watakuja kujua ukweli ni upi . unajua civil engineering, electrical engineering na mechanical na chemical engineering ni principle course kwa engineering tofauti na hizi course nyingine ambazo either zinaaanzisha kutokana na soko au mabadiliko ya kiteknolojia sasa ukiangalia nchi yetu iko static sana kwenye mabadiliko sasa wewe unaweza ukawa unatumia mtaala wa kizamani wakati dunia imeshaakuacha mfano wewe unakazana kusoma analogue telecom wakati watu wanazungumzia digital telecom au unasoma pascal programming kweli?
kwa ujumla tujitahidi sana kubadilika kuna fursa nyingi hapa duniani tujitahidi kutumia akili zetu at maximum ..
nawasilisha
 
Pole sana kijana usikate tamaa kazi ngumu kupata: inaelekea elimu uliyopata ilikuwa inakuandaa kuwa job hunter ok keep on hunting but this could be your prime time to think on what you can do kujiajiri: ni ngumu bila mtaji lakini ukiwa mbunifu unaweza kusahau about job hunting ukawa unafikiri jinsi ya kuboresha kile unachokisimamia
 
Back
Top Bottom