kitokololoo
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 704
- 813
apana usajiri huwa unaendelea tu mpk wanafunzi wanapoelekea kufanya test 1 ambapo huwa ni mwezi wa kumi na mbili huko kwa hyo tatizo linapokuja hutaweza kufanya vzr semista ya kwanza kwa sababu utakuwa umechelewa masomoVipi kama asipofanya usajili wakat anasubiri mkopo ndo atakuwa amefutwa chuoni ama?