mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,432
- 2,892
Ni baada ya Jana kukataa mizinga kama mitatu hivi.
Basi mademu wote wamenisusa,
Wamekwenda kwa wenzangu wenye nazo.
Hapa napata zangu ubwabwa kwa mgahawa nkalale.
#Vijana tafuteni pesa
#mitano tena
Kampaniless njooni
Basi mademu wote wamenisusa,
Wamekwenda kwa wenzangu wenye nazo.
Hapa napata zangu ubwabwa kwa mgahawa nkalale.
#Vijana tafuteni pesa
#mitano tena
Kampaniless njooni