Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,587
- 215,184
- Thread starter
- #201
Tena dada anashonewa uniform ya kazi. Gauni kama dera lakini kina lining ndani.Teh wenginie ndo hata ukienda kwa ndugu, unaambiwa Kabisa hakuna kuvaa nguo za aina fulani na fulani, utamtega mume wangu; anazivaa tu mama mjengo. Sasa unajiuliza huko barabarani/kazini na duniani huwa unamfumba macho mumeo asione vimini na vijeans/vitight? Huyo mume wa kuchungwa hivyo ni mume au mfano wa mume? Ukicheza kidogo kichaa cha ndoa kitakupata