Tulioko kwenye ndoa kukaribisha mashosti nyumbani wamzoee Mr ni kutengeneza bomu

Ukiwa kwenye ndoa mume ana sehemu yake katika maisha yako. Binadamu tukiwa social animals tunahitaji marafiki, wa kusaidiana nao katika kuongeza siku hapa dunuani. Ukiwa kwenye ndoa inabidi uwe na mipaka katika uhusiano wa mashost kumzoea mume wako.

Kwanza shost kuja nyumbani si busara. Nyumbani ni sehemu ya familia na privacy izingatiwe. Yale mambo ya kuanikana siri barabarani kuwa wakimaliza kula yule mwanaume ndiye muosha vyombo hayahusu.

Ikitokea shost amepata dharura inabidi aje kwako. Apige simu na uelewe sababu inayomleta. Kama mume yuko sebuleni anaangalia TV, mtake radhi aende chumbani japo kwa lisaa limoja, unaihitaji sebule. Akija shost msikilize, baada ya lisaa ulilomuahidi mume kwisha mwake radhi shoga kuwa muda wa kumsikiliza umekwisha, mengine mtayamaliza kwenye simu.

Kama watazoena wazoeane kwa kukutana ki vyao si chini ya pua yako.
kama shosts mwenyewe mashallaah kajaliwa napita nae tu tena walivyo wazaifu utasikia hatoshutka
 
Ushosti/urafiki/mazoea ya kijinga na familia yangu hasa mume staki aisee,.lazima tujue kutofautisha familia na urafiki,.urafiki una sehemu yake na muda wake,.mazoea ya kupelekana mpaka vyumbani hapana kwa kweli,.kuna watu hawana staha na "vyumba" vyao atii,.mgeni akija akaribishwa hadi chumbani unako lala na mumeo,inahuuu?!!!
 
Ushosti/urafiki/mazoea ya kijinga na familia yangu hasa mume staki aisee,.lazima tujue kutofautisha familia na urafiki,.urafiki una sehemu yake na muda wake,.mazoea ya kupelekana mpaka vyumbani hapana kwa kweli,.kuna watu hawana staha na "vyumba" vyao atii,.mgeni akija akaribishwa hadi chumbani unako lala na mumeo,inahuuu?!!!
Birds of the same feathers do flock together. Kama shost ameolewa na yeye awe na muda na nyumba yake. Haya mambo ya kumuomba mume amdrop shost giza limeingia ndiyo wanaanzia guest house kwanza.
 
Mimi mashost nyumbani mwiko! Labda niwe na shughuli inayofanyika nyumbani kwangu. Niwe nina Mume niwe Sina. Unashida niite tutakutana mahali tutaongea tutamaliza.
Tabia ya mashost kugeuza nyumba yangu Gheto sitaki. Na Mume wangu siwezi kumtambulisha kwa rafiki yangu.
Ooooh nimekumbuka , sina marafiki Nina watu ninaoongea nao na tunaheshimiana na mipaka yetu ipo huko mbali.
 
Ukiwa kwenye ndoa mume ana sehemu yake katika maisha yako. Binadamu tukiwa social animals tunahitaji marafiki, wa kusaidiana nao katika kuongeza siku hapa dunuani. Ukiwa kwenye ndoa inabidi uwe na mipaka katika uhusiano wa mashost kumzoea mume wako.

Kwanza shost kuja nyumbani si busara. Nyumbani ni sehemu ya familia na privacy izingatiwe. Yale mambo ya kuanikana siri barabarani kuwa wakimaliza kula yule mwanaume ndiye muosha vyombo hayahusu.

Ikitokea shost amepata dharura inabidi aje kwako. Apige simu na uelewe sababu inayomleta. Kama mume yuko sebuleni anaangalia TV, mtake radhi aende chumbani japo kwa lisaa limoja, unaihitaji sebule. Akija shost msikilize, baada ya lisaa ulilomuahidi mume kwisha mwake radhi shoga kuwa muda wa kumsikiliza umekwisha, mengine mtayamaliza kwenye simu.

Kama watazoena wazoeane kwa kukutana ki vyao si chini ya pua yako.

Hahahaaa

Hii ni kweli...never trust a human being!
 
Mimi mashost nyumbani mwiko! Labda niwe na shughuli inayofanyika nyumbani kwangu. Niwe nina Mume niwe Sina. Unashida niite tutakutana mahali tutaongea tutamaliza.
Tabia ya mashost kugeuza nyumba yangu Gheto sitaki. Na Mume wangu siwezi kumtambulisha kwa rafiki yangu.
Ooooh nimekumbuka , sina marafiki Nina watu ninaoongea nao na tunaheshimiana na mipaka yetu ipo huko mbali.

Marafiki wanaopenda sana kuja nyumbani au kuijua sana familia yako ni hatari in some way as you pointed out!
 
Kwangu hatuchanganyiki, wanaume huko wanawake hukooo. Yanini taabu na raha ipo?

Halafu you think bitchy friends of yours can never screw your hubby if they want?

Do you really know bitchy thirsty women who are cute than you on top of that?
 
Tena ni hatari sana. Tena zaidi ya sana.

Ugomvi mwingi sana wa familia hasa unaanzia kwenye usaliti wa marafiki kama hivyo!

Na hua ni mbaya na unaoumiza zaidi sababu aliekufanyia unamjua mwanzo mwisho!

Its a dangerous game!

Ila wanawake wengine sijui wana vichaa,they still do this stupid show offs na socialization bila kua makini!
 
Ugomvi mwingi sana wa familia hasa unaanzia kwenye usaliti wa marafiki kama hivyo!

Na hua ni mbaya na unaoumiza zaidi sababu aliekufanyia unamjua mwanzo mwisho!

Its a dangerous game!

Ila wanawake wengine sijui wana vichaa,they still do this stupid show offs na socialization bila kua makini!
It hurts when you find out it has been happening right under your nose.
 
Seems like kuanzia kwa wazazi wangu hadi kwangu, Mungu ametupa true friends. Tumeishi different places na tumejenga "undugu" na marafiki wengi. Kiasi kwamba kutembeleana hakujawahi kuwa tatizo, kama tukiwa mikoa tofauti, wageni wanafikia tu kwetu na hata mama kufikia kwao sometimes. Tunatembeleana na marafiki zangu na kulala kabisa, and hatujawahi kugombana over trust issues. I didn't find friends, I found sisters in my friends. Hatunaga shida kumuomba baby ampitishie rafiki yangu mzigo/ akifika mkoani kwao akaisalimie familia.

Siwezi nikawa nakutana na marafiki zangu kwenye restaurants kila siku, kisa naogopa wakija home mume wangu atawatongoza; unless kuna alarm nimeiona kwa rafiki husika. Huyo mume wa kumprotect hivyo na kunifanya niwe insecure; ashindwe IJN. Leo ntawaogopa marafiki zangu, kesho kuna ndugu zangu wa kike watataka kuja kukaa au kusalimia, ntawapangia guest? Bado kuna house girls tunaoishi nao, na wenyewe inakuwaje?

Yes sio kila mtu unayekutana naye ni rafiki hadi mnapelekana home, ila kuna wale marafiki haswa and you all know your limits. Nina marafiki ambao kabla ya kureport shule, nilikuwa nafikia kwao ndo tunaenda shule; unaenda kureport kazini unafikia kwa wazazi wa mwenzio na wengine tumeunganisha hadi familia zinajuana na kuungana kwenye sherehe/matatizo hadi vijijini kwetu tunasindikizana. Kweli nisiwakaribishe kwangu kisa mume? Sio kila mtu wa kumuamini, but isiwe kila mtu anayemuona mbele ya macho yako anamtaka mumeo mweeh.
Nyumbani nimchunge hivyo, huko mbali na macho yangu je ndo ntafanyaje, kama sio kuwa mwehu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom