Pablo
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 2,441
- 2,541
Tulioishi kotaz za polisi, magereza, jwtz na majeshi mengine Tuelezane maisha kwa ujumla yalikuwaje.
mimi binafsi nimeishi kotaz za JW kama ujuavyo kuna kotaz za maofisa na wale wachini. Nilikuwa mjanja mjanja kumega watoto wa wajeshi. Nakumbuka siku moja niliitwa kambini kwa mashtaka wamama wanalalamika watoto wao nawapotezea muda kwa kuwalaghai nikapewa onyo la mwisho next time mashtaka yakija nafukuzwa..
Karibuni wadau tukumbushane tulipotokea.
mimi binafsi nimeishi kotaz za JW kama ujuavyo kuna kotaz za maofisa na wale wachini. Nilikuwa mjanja mjanja kumega watoto wa wajeshi. Nakumbuka siku moja niliitwa kambini kwa mashtaka wamama wanalalamika watoto wao nawapotezea muda kwa kuwalaghai nikapewa onyo la mwisho next time mashtaka yakija nafukuzwa..
Karibuni wadau tukumbushane tulipotokea.