Tulioishi kotaz (watoto wa kotazi) tukutane hapa

Nimeishi kota babu, yaani tukienda kucheza mechi tukifungwa lazima tuwachape viboko watoto wa watu kisa wazee wajeda.
 
hakuna watoto wana matusi kama watoto wa Kota za polisi. Ukiwakuta mpirani siku hiyo lazima zipigwe, halafu sasa watoto wa kike wa kota wana wakati mgumu kweli. Utakuta vijamaa vinapeana zamu kumtongoza tu. Akikataa hapo ndio anaundiwa tume. siku akimkubali mmoja tu, mtungo unamhusu.
watoto wa kota mnatuuliza kuhusu isidingo, nsituletee zenu mkija tutawadandia shingo. -Suma G, -Vituko Uswahilini.
 
hakuna watoto wana matusi kama watoto wa Kota za polisi. Ukiwakuta mpirani siku hiyo lazima zipigwe, halafu sasa watoto wa kike wa kota wana wakati mgumu kweli. Utakuta vijamaa vinapeana zamu kumtongoza tu. Akikataa hapo ndio anaundiwa tume. siku akimkubali mmoja tu, mtungo unamhusu.
watoto wa kota mnatuuliza kuhusu isidingo, nsituletee zenu mkija tutawadandia shingo. -Suma G, -Vituko Uswahilini.
Hahahaaa upo sahihi kabisa mkubwa. Umalaya wao. Ugomvi wao. Mtungo wao..kila kitu wapo
 
Mimi pia niliishi kota....ninachokumbuka...tulikuwa tunaanzisha ugomvi mtaani, ugomvi ukitushinda tunawavutia/tunakimbilia karibu na kota zetu...na wale tulio kuwa tunagombana nao walikuwa wanatukimbiza hadi kota...sasa wale ambao tumewachokoza walikuwa hawawezi kuwatambua askari walio vaa kiraia...ugomvi utaendelea mwisho askari waliovaa kiraia wanakuja kutusaidia kwa kuwapiga viboko na vijana wengine wa mtaani wanakamatwa kwa kosa la kuvamia kota za polisi....
Siku moja mkuu wa kituo ambaye ndie aliyekuwa anatoa oda tusaidiwe katika ugomvi ambao sisi ndio tulikuwa wachokozi...alihamishwa akaja mkuu wa kituo mwingine ambaye siku anakuja alikuta ugomvi kama kawaida watoto wa kota tumechokoza watoto wa mtaani tumeuhamishia ugomvi kota ....watoto wa mtaani wakatufuata hadi kota...mkuu wa kota akawakataza askari wakota ambao walikuwa ni wazazi wasije kusaidia ule ugomvi na mbaya zaidi walifunga milango ya kuingilia ndani...kila mtoto aliethubutu kukimbilia kwao pale kota alikuta milango imefungwa...mimi pia nilikimbilia nyumbani nikakuta milango imefungwa ya kuingilia ndani vita ile ilihusisha mawe na ngumi za ana kwa ana...tulitembezewa kichapo na wale watoto wa mtaani pale pale kota tukawa hatuna pakukimbilia...mimi nilipigwa jiwe la kichwa damu zilichuruzika mithiri ya kuku aliechinjwa.....siku hiyo tulipigwa sana na watoto wa mtaani hadi jioni vitailiendelea pale pale kota lakini hakuna askari aliyethubutu kuja kugombelezea...baadaye mida ya saa 2 ugomvi ulitulia kila mmoja alikuwa anawaza jinsi atakavyo ingia ndani kwao.....
 
Mimi pia niliishi kota....ninachokumbuka...tulikuwa tunaanzisha ugomvi mtaani, ugomvi ukitushinda tunawavutia/tunakimbilia karibu na kota zetu...na wale tulio kuwa tunagombana nao walikuwa wanatukimbiza hadi kota...sasa wale ambao tumewachokoza walikuwa hawawezi kuwatambua askari walio vaa kiraia...ugomvi utaendelea mwisho askari waliovaa kiraia wanakuja kutusaidia kwa kuwapiga viboko na vijana wengine wa mtaani wanakamatwa kwa kosa la kuvamia kota za polisi....
Siku moja mkuu wa kituo ambaye ndie aliyekuwa anatoa oda tusaidiwe katika ugomvi ambao sisi ndio tulikuwa wachokozi...alihamishwa akaja mkuu wa kituo mwingine ambaye siku anakuja alikuta ugomvi kama kawaida watoto wa kota tumechokoza watoto wa mtaani tumeuhamishia ugomvi kota ....watoto wa mtaani wakatufuata hadi kota...mkuu wa kota akawakataza askari wakota ambao walikuwa ni wazazi wasije kusaidia ule ugomvi na mbaya zaidi walifunga milango ya kuingilia ndani...kila mtoto aliethubutu kukimbilia kwao pale kota alikuta milango imefungwa...mimi pia nilikimbilia nyumbani nikakuta milango imefungwa ya kuingilia ndani vita ile ilihusisha mawe na ngumi za ana kwa ana...tulitembezewa kichapo na wale watoto wa mtaani pale pale kota tukawa hatuna pakukimbilia...mimi nilipigwa jiwe la kichwa damu zilichuruzika mithiri ya kuku aliechinjwa.....siku hiyo tulipigwa sana na watoto wa mtaani hadi jioni vitailiendelea pale pale kota lakini hakuna askari aliyethubutu kuja kugombelezea...baadaye mida ya saa 2 ugomvi ulitulia kila mmoja alikuwa anawaza jinsi atakavyo ingia ndani kwao.....
Hahahahaha muro umenikumbusha hii kitu ilikuwa kawaida sana hasa tukienda kucheza mpira.
 
Mi niliishi Naliendele Mtwara wale wa majumba sita, uzunguni, hakuna kuombana chumvi yaani kila mtu na lake!!!
 
Back
Top Bottom