Umechaguliwa course gn?, mkuu,,Wanafunz wenzangu tuliobahatka kuchaguliwa katka chuo tajwa hapo juu,njoo hapa tujadil mambo mbali mbali yanayohusu maisha ya chuo!!!
Karibun sana wadau
Cjui ,,,ila Mimi nitahamia hapo ,,,,nikitokea UDOM,,,na nitakuwa course hiyohiyoNmechaguliwa bachelor of science with education!! et naskia somo la kemia halifundishwi hapo chuoni?????