omary sadick
Member
- Jul 16, 2017
- 40
- 14
Poleni na majukumu mie na mmoja nilieomba diploma baada ya kutokidhi vigezo vya TCU hivyo naombeni tuje tupeane ushauri humu ndani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ujinga kama miaka miwili imekushinda itakuaje mwaka mmoja kirahisi rahisi utokeumefnya maamuzi sahihi kureseat ni kupoteza muda....
Hata kwa hili hajafanya ujinga pia mkuuKuna nyuzi nyingi sana humu za hayo mambo tangia JUNE, pitia hizo
Specify Diploma yA kozi gani!!
THE SNIPER.
unataka Mnashauriane mambo gani?
"mwanaume mashine"
Uelewi elewi nn mkuu, nisanue kwanza hapomm mwenyew nimeapply diploma lkn sielew elew
kuna mtu alisema nimtumie pesa aapply moja kwa.moja chuon afu kanipa password na username sasa najuaje kama wamenkubalia chuo nachotakaUelewi elewi nn mkuu, nisanue kwanza hapo
Kajifunze kwanza kuandikaHabari zenu nilikuwa naomb uxhauri kuwa nimesoma certificate ya IT pale DIT Nina GPA ya 3.4 xax nilikuwa diploma natak nikasomee computer science alafu kingine kuwa mm o'level nilisoma arts..lakin katik matokeo yang xikupat F ila nilikuwa D pamoja na C moja ya kiswahili xax nilikuwa nauliza chuo gan kinaweza kunipokea bro....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndug mm nimeomb uxhauri... Hayo maxwal mengine yanakuja vip ni bora ungepita tu.....kam ww huwa unapatia kila kitu ni ww sio mm