Seaman86
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 370
- 408
Wakubwa habari za usiku huu
Nimeamua kuachana na mke wangu rasmi leo hii tarehe 17 Nov 17 daa 22:59 siku ya ijumaa baada ya kumwona mke wangu anamaneno machafu na asiyekuwa mnyenyekevu
Kwa sasa nimeamua kuishi single mpaka miaka ya mbele sana huko
Mtoto ana mwaka na miezi sita nampeleka kwa bibi yake
Mwanamke mwenyewe amekubali kwamba tuachane maana na yeye kanichoka
Wazazi wa mwanamke hawajapata taarifa ila asbh nitawajulisha na hatua nyingine zitafuata ikiwa n pamoja na talaka pamoja na kwamba n ndoa ya Kikristo
Nawasilisha...
Karibuni wadau
Nimeamua kuachana na mke wangu rasmi leo hii tarehe 17 Nov 17 daa 22:59 siku ya ijumaa baada ya kumwona mke wangu anamaneno machafu na asiyekuwa mnyenyekevu
Kwa sasa nimeamua kuishi single mpaka miaka ya mbele sana huko
Mtoto ana mwaka na miezi sita nampeleka kwa bibi yake
Mwanamke mwenyewe amekubali kwamba tuachane maana na yeye kanichoka
Wazazi wa mwanamke hawajapata taarifa ila asbh nitawajulisha na hatua nyingine zitafuata ikiwa n pamoja na talaka pamoja na kwamba n ndoa ya Kikristo
Nawasilisha...
Karibuni wadau