Tulioajiriwa tukawa hatulipwi mishahara badala yake tunajilipa tukutane hapa

samir nassir

JF-Expert Member
Feb 5, 2017
1,114
1,443
Niliajiriwa na boss moja hivi, dukani. Sasa alinambia atanilipa kwa mwezi taslimu. Mwisho wasiku silipwi mwezi 1 hadi 3 nikasema usintanie nikawa najilipa mwenyewe.

Nashukuru sasa hivi nimehifadhi pesa ya kutosha mimi najilipa kwa siku sitaki mwezi kwani utakua uzembe mwisho wasiku unafukuzwa huna 1000 mfukoni ndio utajua akili itakuingia vizuri
 
Niliajiriwa na boss moja hivi duka la...... Sasa alinambia atanilipa kwa mwezi taslimu.... Mwisho wasiku silipwi mwezi 1 hadi 3 nikasema usintanie nikawa najilipa mwenyewe nashkru saivi nimehifadhi pesa ya kutosha mm najilipa kwa siku stk mwezi kwn utakua uzembe mwisho wasiku unafukuzwa huna 1000 mfukoni ndoutajua nakili itakuingia vizuri
Unajiona mjanja? basi jua kuwa bosi wako alipokwambia kuwa atakuwa anakupa mshahara alikuwa anamaanisha ujilipe ndo maana mwezi ulipoisha hajakupa kitu akijua kuwa ushajilipa, eti unadhani kuwa hajui kuwa unajilipa? pole
 
Unajiona mjanja? basi jua kuwa bosi wako alipokwambia kuwa atakuwa anakupa mshahara alikuwa anamaanisha ujilipe ndo maana mwezi ulipoisha hajakupa kitu akijua kuwa ushajilipa, eti unadhani kuwa hajui kuwa unajilipa? pole
Lazma ujiongezee
 
Niliajiriwa na boss moja hivi duka la...... Sasa alinambia atanilipa kwa mwezi taslimu.... Mwisho wasiku silipwi mwezi 1 hadi 3 nikasema usintanie nikawa najilipa mwenyewe nashkru saivi nimehifadhi pesa ya kutosha mm najilipa kwa siku stk mwezi kwn utakua uzembe mwisho wasiku unafukuzwa huna 1000 mfukoni ndoutajua nakili itakuingia vizuri
yaani hili swala limenilemaza akilisaaaana kwa kupiga magumashi mi ndo mtaalam halafu nikawa nawnda kwenye starehe nikijua na kesho napata zingine khaa
 
Niliajiriwa na boss moja hivi duka la...... Sasa alinambia atanilipa kwa mwezi taslimu.... Mwisho wasiku silipwi mwezi 1 hadi 3 nikasema usintanie nikawa najilipa mwenyewe nashkru saivi nimehifadhi pesa ya kutosha mm najilipa kwa siku stk mwezi kwn utakua uzembe mwisho wasiku unafukuzwa huna 1000 mfukoni ndoutajua nakili itakuingia vizuri
1 mlipatana sh ngap?
2 unajilipa sh ngap kwa mwz?
3 una family?
4 ..
 
Niliajiriwa na boss moja hivi duka la...... Sasa alinambia atanilipa kwa mwezi taslimu.... Mwisho wasiku silipwi mwezi 1 hadi 3 nikasema usintanie nikawa najilipa mwenyewe nashkru saivi nimehifadhi pesa ya kutosha mm najilipa kwa siku stk mwezi kwn utakua uzembe mwisho wasiku unafukuzwa huna 1000 mfukoni ndoutajua nakili itakuingia vizuri
unajisifu humu kwa kunipiga dukani kwangu ngoja leo utanitambua..
 
Back
Top Bottom