Josey j
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 466
- 902
Kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu,
Katika kuzungukia hazina za mwenyezi mungu na Kwa utafiti niliofanya nimegundua wanawake na wanaume wengi hawajawahi kufika kileleni kwa sababu mbali mbali ikiwemo
- unene uliopitiliza
- lishe duni na nyinginezo unazofahamu wewe
Kwakweli kufika kileleni raha sana asikuambie mtu,
+ Dalili zitakazo kutambulisha kua umefika kileleni ni hizi zifuatazo
1. Ukifika kileleni kama umevaa sketi au shati utaona kama linapeperuka hivi
2. Ukiangalia chini ulikotoka , kama kuna nyumba utaona kama vijiwe vidogo dogo na Miti mikubwa vivyo hivyo
3. Utaona hali ya hewa inabadilika na kua na baridi tofauti na ulikotoka
4, kama ni muoga utahisi kizungu zungu .
Katika kuzungukia hazina za mwenyezi mungu na Kwa utafiti niliofanya nimegundua wanawake na wanaume wengi hawajawahi kufika kileleni kwa sababu mbali mbali ikiwemo
- unene uliopitiliza
- lishe duni na nyinginezo unazofahamu wewe
Kwakweli kufika kileleni raha sana asikuambie mtu,
+ Dalili zitakazo kutambulisha kua umefika kileleni ni hizi zifuatazo
1. Ukifika kileleni kama umevaa sketi au shati utaona kama linapeperuka hivi
2. Ukiangalia chini ulikotoka , kama kuna nyumba utaona kama vijiwe vidogo dogo na Miti mikubwa vivyo hivyo
3. Utaona hali ya hewa inabadilika na kua na baridi tofauti na ulikotoka
4, kama ni muoga utahisi kizungu zungu .