Tulio single, tujuzane changamoto tunazokutana nazo

sanalii

JF-Expert Member
Oct 1, 2018
1,431
5,073
Kuna sababu nyingi za kuwa single.

Kwa upande wangu huwa najisikia mpweke sana mpaka natamani nipate namba ya dada yoyote nimpigie hata animalizie dk kadhaa. Pia hupoteza hamu ya kufanya kazi n.k.

Inahitaji kujitolea sana kuwa single
 
IMG-20181210-WA0001-2.jpg
 
Back
Top Bottom