Tulio na madigrii tunaaibishwa sana na failures aisee! Nini maoni yako?

kuna ukweli asilimia kubwa. Bahresa ana degree? manji ana degree gani? etc, labda wahindi wanaweza kuwa nazo lakini sio waarabu. wamiliki wa mabasi kama msukuma wote hawana degree hata mmoja, wamiliki wa viwanda wanaweza kuwa na wenye degree lakini ni za biashara tu na hazijavuka kwenye masters au phd....
Labda degree, we usomee PhD. hicho kiwanda utaanzisha saa ngapi
 
kuna ukweli asilimia kubwa. Bahresa ana degree? manji ana degree gani? etc, labda wahindi wanaweza kuwa nazo lakini sio waarabu. wamiliki wa mabasi kama msukuma wote hawana degree hata mmoja, wamiliki wa viwanda wanaweza kuwa na wenye degree lakini ni za biashara tu na hazijavuka kwenye masters au phd....
Boss fanya tathmini japo sitabase zaid kwenye viwanda na biashara kwa ujumla deep
Fanya random sampling kwa idadi ya ya walioenda shule na wasioenda shule then compare kundi lipi lina watu wenye unafuu Wa kujikimu kimaisha kuliko jingine ,elimu ina nafasi Kubwa sana
 
kuna ukweli asilimia kubwa. Bahresa ana degree? manji ana degree gani? etc, labda wahindi wanaweza kuwa nazo lakini sio waarabu. wamiliki wa mabasi kama msukuma wote hawana degree hata mmoja, wamiliki wa viwanda wanaweza kuwa na wenye degree lakini ni za biashara tu na hazijavuka kwenye masters au phd....
Swali ni je katika watu ambao hawajaenda shule kuna kina bakhresa wangapi
 
Mzee acha kunichekesha kabisa

Yeye ana maisha gani ya ajabu?Kumiliki mabasi ya usafiri?Au boti za uvuvi au migodi ya kuchimba kwa baruti na vijembe huko kwao?

Hebu nipe turnover yake hapa in real terms!

Sio mtu anapita madomo marefu huko bungeni ndio mnaona kama anamiliki uchumi wa hii nchi!

Msomi kwenda shule tu amedhubutu,yeye kwanini aliogopa kwenda shule?

Udhubutu wa nini hasa unaosemea?Kufanya biashara?Hivi unadhani kila mwananchi anaweza kua daktari?Na pia sio kila mtu anaweza kua mfanyabiashara!

Sasa udhubutu wa mtoto alieweza kufatilia masomo mpaka akawa daktari bingwa wa upasuaji unakuja leo unasema hana ujasiri ila mpumbavu anaefanya biashara ya basi mbili tatu za abiria eti ndio ana udhubutu.Nigga gimme a break!

Elewa jambo moja,huyu bwana ana inferiority complex,na yupo kwenye denial ...Haiwezekana kila akisimama bungeni anataja darasa la saba speech zake zote katika hali ya bitterness namna hii...Anatafuta validity katika moyo wake walao kujifanya yupo level moja na wasomi..Akubali tu hana elimu na hawezi ipata tena,akubali la saba lake,apanguse matako aendelee na maisha,thats reality!

Anajua wazi hawezi kua waziri au rais maana hana degree.Level ya ubunge ndio the highest he can go..We are sorry for him!

Atakufa bila kupata ridhiko la moyo wake.Aache kua kwenye denial!


Yeye anamiliki hizo boti na mabasi je ww unamiliki nin labda,ukweli mchungu huna budi kuukubali japo mchungu
 
Hoja ya huyu Mbunge na wa tz tulio wengi ni nyepesi mno. Yeye alipomaliza Std 7, moja kwa moja alianza kutafuta pesa. Huyo Graduate alienda sekondari (6yrs) na chuo (3+yrs). Kwa hiyo ni suala la muda tu, wangepimwa mafanikio yao pamoja kama walianzia harakati pamoja.

Lakini kitu kingine ni kuwa, yeye anajisifia kumiliki kiwanda, mabasi,.....! Anasahau kuwa hizo machineries na formulas anazotumia zimebuniwa na Graduates. Hajui kuwa hiyo fuel na oil anayonunua ikiwa ready-made kwa ajili ya gari lake, kuna watafiti ambao wali spend a number of sleepless nights kutengeneza. Kwa hiyo tunategemeana asijitie kiburi. Yeye anadhani huo uganga wake wa kienyeji anaweza kuutumia kufanyia kila kitu. Kama anajigamba kuajiri graduates kwenye viwanda, kwa nini asiajiri misukule?

Naomba nisiseme mengi.
Mwalimu aliyechoka anapojisifia amefundisha maprofesa. Sifa za kijinga.
 
Hivi kuna Tajiri mkubwa mzawa bongo kushinda Reginald Mengi? Je Mengi ni darasa la saba?

Labda kwanza tuweke listi ya hao matajiri std 7 hapa ili iongoze weight kwenye hii hoja otherwise tutakuwa tunadiscuss hearsay
 
Mawazo haya ndio yanafanya wasomi kama wewe kufeli kwenye biashara. We unasema hawezi mwenzio anakusanya.

Mzee una takwimu za biashara za wasomi mpaka useme hivyo?

Na unajua mimi na wasomi wengine wanaendesha biashara gani?

Na unajua what it takes for someone to be daktari bingwa?

Anakusanya kwa mkono,tangu lini ikawa effective enterprise level business ambayo eti makusanyo yanakusanywa kwa mkono binafsi wa owner?Ufanisi upo wapi?Akiacha wafanyakazi kukusanya wanafilisi kampuni inakufa...Utafanya hivyo mpaka lini?Kuna biashara serious hapo kweli au ni uchuuzi huo?

Na elewa uchuuzi ni biashara pia,sio nimesema hivyo kumdharau,ni kua biashara yake bado ni ndogo,na sio vibaya..Hizo sifa anazozitaka utadhani anamiliki uchumi wa nchi hii ndio namshangaa...Yeye ni mchuuzi,ndio level ya bishara yake,akubali yaishe!
 
jr fu

hiyo ni kweli

wataje
jaribu kufanya utafiti si kila kitu utafuniwe tuu sawa mkuu...
siku amua kujivuta tu nenda mpaka pale udsm au iyunga tech kajionee...acha kulala ndani na kuamini stori za vijiweni...hata mkuu huyuhuyu wa nchi alishagundua acid zaidi ya mara moja shida ipo ktk serikali ktk kuwatambua..
 
Si elimu ya Tanzania mkuu.Ungekuwa unazungumzia elimu ya nje ningekuelewa.
Unauliza machine wangezipata wapi?Hivi hujui mtambo wa kutengeneza alcohol umetengenezwa na drs la saba?Hujui hata machine za kusaga unga wametengeneza watu wasio na digrii?Je hujui kuwa program nyingi za computer zimetengenezwa na watu wasio na degree?
Je hujui hata bunduki wametengeneza watu wasio na degree?
Kwa mujibu wa tafsiri yenu ya wasomi eti mtu akiwa na degree,masters, PhD ndio wasomi,inakuwaje prof.wa uchumi hana hata biashara ya karanga kama diamond drs la saba?
tatizo lenu mnazungumzia vitu jumlajumla,kwani we unawajua maprofesa wote wa Tanzania na ishu zao??au unadhani kila mtu anapenda kujionesha vitu au miradi anayomiliki??haya nitajie program ya kompyuta iliyogunduliwa na mtu ambaye hakuenda shule??
 
Hatupingi kuwa wasomi ndio wagunduzi za hizo machine,swali...Hebu tuambie wasomi wa tz wamegundua machine gani labda...
kwa kukusaidia..jaribu kutembelea udsm,iyunga tech,sido,veta...ni vile wanasiasa wanawapuuzia...
 
Kuna vitu unachanganya mkuu.Wavumbuzi wengi wa vitu au mambo hawakuwa wasomi ila walikuwa na akili.Ameongea kuhusu "umiliki"!
hata yule ford zile injini zake hakuzigundua yeye alikuwa na wazo tu..akatafuta mainjinia akawalipa wakamdizainia wakamtengenezea...watu waliokuwa na akili???
 
Ukweli siku zote huwa ni mchungu na waosomi hamna budi kuukubali,wanaojiita wasomi ndio wameifikisha hii nchi hapa ilipo kwa kuingia mikataba mibovu,wamebaki kujipendekeza kwa wanasiasa,hapa jf pekee kuna raia wanajidai wasomi lkn ukiangalia anachopost unajiuliza kama kuelimika ndio hivi basi haina haja ya kusomesha mwanao,mifano ipo mingi sana kuanzia hao mawaziri na wengineo wengi tu,imagine jaji mkuu yule ni msomi by professional but anapelekwa puta na mwanasiasa anadiliki kwenda tofauti na anachokisimamia(sheria) mifano ipo mingi kwa kweli...
 
Wakuu mnavyotokwa na povu yani huu uzi angekuwa kila mtu anaweza kuusoma hata watu ambao hawajui chuo kikuu kinafananaje, wallah cheti changu ningekificha maana tatizo la wasomi linaonekana dhahiri.
 
Back
Top Bottom