Tulikuwa na maisha yetu na siasa zetu kabla ya Mabeberu kuvamia Tanzania. Mabeberu wasitutishe na Pesa zao

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,099
Members,

Angalieni ndege, wanyama angani wanakula na kunywa lakini hawalimi wala hawapandi. Hawa ndege wanaruka tu angani hawategemei msaada wowote.

Tusiwaogope hawa mabeberu hawana jipya. Corona tu imewashinda.

Yule mwenyekiti wa kamati kwenye Bunge la Ulaya la kuijadili Tanzania sio mzalendo ni Beberu kama mabeberu mengine, anaanzaje kuulizia pesa za misaada ya corona.

Ni dhahiri shairi Maisha yetu yameboreka zaidi na kwa kasi tangu mwaka 2014 mpaka sasa 2020. Vipimo vya Benki ya dunia Tanzania tupo uchumi wa Kati wa chini. Sisi sio nchi fukara au ombaomba tena.

Wazungu kabla hawajafika Afrika tulikuwa tunajitegemea kwa kila kitu mavazi, chakula na madawa yetu wenyewe, hatukuwahi kuomba msaada wala Babu zangu na Babu zetu hawakuwahi kuomba msaada wa madawa au barabara na waliishi vizuri.

Mabeberu baada ya kuvamia Tanzania wakapandikiza mambo yao ya magonjwa yasio na tiba Tanzania, wakanyunyuzia mimea yetu kemikali na kusababisha mabadiliko makubwa ya uoto wa asili.

Leo hii umoja wa ulaya wanatutisha hawatatupa pesa. Pesa yenyewe ni pesa ya mboga tu haina msaada wowote, tuache wakae na makaratasi yao.

Ni muda muafaka wa sisi kuvimba na kuwavimbishia na kukataa misaada yao. Tangu tupate uhuru hii misaada haijatusaidi kitu zaidi ya kutuachia kero ya madeni yasiyolipika.

Aidha Serikali ichukue hatua kuwaonya Umoja wa ulaya na Marekani wasitutishe na kutufuatafuata wapambane na corona.

Sisi kama wana CCM hatuungu mkono utegemezi kabisa. Rais JPM alishaanza kututoa huko kwenye kutegemea hao mabeberu.

Cha kushangaza mabeberu wameahidi kusaidia Chadema na kundi lao eti wanalao jambo.

Viva CCM! Viva viva!

Tunasonga mbele kwa kishindo
 
Kwahapa mkuu nikujidanganya hasa nchi hizi zinazoitwa dunia ya 3,ukisema Ujerumani ni sovereignty state then ukaifananisha na Comoro kwamba, marais wakionana kuna red carpets, 21 guns salute na useme wanadiscuss mambo ktk level moja itakuwa uongo.

Hawa jamaa kuwaepuka na impact usiione ni ngumu maana niwakubwa sana kwetu,chamsingi ungeshauri tujue namna ya kuishi nao tu.
 
Nenda kazuramimba uliza maana ya neno, gusi, utaambiwa ni treni la mizigo.
Gusi, gussi, gussy, gussie,

Gisie atakuwa ni ke.
 
Wewe ni mpumbavu ,

Umejaza makaratasi ya darasani kichwani yasiyokuwa na msaada,

Poor analysis,Tangu uanze kufanya Good analysis kuwasifia mabeberu maisha yako yamebadilika?

Sisi ni Taifa huru tunaojitegemea
Yes ukiwa ndani ya nyumba yako na familia yako,

Ila ki dunia sisi bado Sana acha kujidanganya
 
Mwana naona upo kiushabiki zaid juu ya cham chako lakn hujalifikilia hili kw undani zaid au labd umefikilia lkn uwez wako wa kufikiri umeishia hapo,tambua kuwa Tanzania ni nchi maskini na siyo maskini tu,ni maskini sn tofaut na unavy danganywa na akin pole pole na pia ishu ya taif kujitegemea siyo jambo la leo na keshi kuanza hivi nadhani ubgeshauri njia nzuri tu ya kusolve jambo hilo lipo mbele yetu.

Punguza uchama, Taifa kwanza ndio muhimu zaidi.
 
Maisha yetu yameboreka ndio maana tunaenda kukopa pesa za ugonjwa corona wakati huo huo tunaitangazia dunia kwamba sisi ni corona free country na matumizi ya huo mkopo hatuyaweki wazi.
 
Kwahapa mkuu nikujidanganya hasa nchi hizi zinazoitwa dunia ya 3,ukisema Ujerumani ni sovereignty state then ukaifananisha na Comoro kwamba,marais wakionana kuna red carpets, 21 guns salute na useme wanadiscuss mambo ktk level moja itakuwa uongo.

Hawa jamaa kuwaepuka na impact usiione ni ngumu maana niwakubwa sana kwetu,chamsingi ungeshauri tujue namna ya kuishi nao tu
China walijitoaje chini ya hawa wanyonyaji?

Ni uamzi tu, ukiishi huku hujiamini kuwa unaweza basi hutaweza kamwe

Ni wakati sasa tujikakamue hata tusipofika tunapo taka lakini tutasogea na ipo siku tutafika tu hata kama ni watoto wetu.
 
Kwahapa mkuu nikujidanganya hasa nchi hizi zinazoitwa dunia ya 3,ukisema Ujerumani ni sovereignty state then ukaifananisha na Comoro kwamba,marais wakionana kuna red carpets,21 guns salute na useme wanadiscuss mambo ktk level moja itakuwa uongo.....

Hawa jamaa kuwaepuka na impact usiione ni ngumu maana niwakubwa sana kwetu,chamsingi ungeshauri tujue namna ya kuishi nao tu
Masikini jeuri huku hana lolote
 
Hawa jamaa kuwaepuka na impact usiione ni ngumu maana niwakubwa sana kwetu,chamsingi ungeshauri tujue namna ya kuishi nao tu
Unaikumbuka Ottoman empire!? Unamkumbuka Hitler na swastika yake!! Huwezi kujenga mahusiano ya kinyonyaji ukategemea kudumu milele. Kama kuna upande una lalamika katika mahusiano baina ya Africa na nchi zinazojiita eti dunia ya kwanza, ujue anayelalamikiwa kwa kumnyonya mwenzake siku zake zinahesabika ! Niamini, Mkuu, utaona matunda ya kuniamini siku si nyingi.
 
Unazungumzia historia kumbe...kwamba tulikuwa na maisha yetu, meaning ni wakati ule nchi ilikuwa ikiongozwa na viongozi wastaarabu. Sasa mmetuletea huyu mshenzi Wacha tuone.
 
Utupangiwi atutishiwi,JPM ashikilie apoapo asiachie.
wakae na pesazao wasitupangie wasitutishie Tanzania ni taifa huru.
 
Back
Top Bottom