Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,227
- 26,047
Kwani mlipoiba uchaguzi na kuua watu mlimkomoa nani??Nimjuavyo Lissu, hapa anafurahi kishenzi wakati yeye yuko anayunzwa Ulaya na mabeberu. Sasa sijuwi anamkomoa nani,
Kwani mlipoiba uchaguzi na kuua watu mlimkomoa nani??Nimjuavyo Lissu, hapa anafurahi kishenzi wakati yeye yuko anayunzwa Ulaya na mabeberu. Sasa sijuwi anamkomoa nani,
Yeye kaenda kuishitaki Tanzania kwa umoja wa Ulaya (Ubelgiji)...wakati Ubelgiji hiyo hiyo waliua wakongo zaidi ya milioni 12 na hawajaomba msamaha wala kushitakiwa na waafrika ila leo hii wasaliti wetu (Lissu na Zitto) wanakwenda kwa shetani kuomba Tanzania ipewe vikwazo. Kama si ujinga ni nini hii? Kwani Lissu alipata wapi promise kuwa atachaguliwa na watanzania kuwa rais wetu?Kwani mlipoiba uchaguzi na kuua watu mlimkomoa nani??