Tulikuwa bado tunamhitaji BENJAMIN MKAPA kama Raisi wetu kwa maeneleo yetu

frozen

Senior Member
Aug 12, 2010
135
32
Hamna shaka watanzania badowana mapenzi ya dhatikwa raisi mstaafu Mkapa, pamoja na matatizo yake yote katika utawala wake ,alijipambanua kama kiongozi jasiri,sio mnafiki aliyekuwa na vision ya dhati ya kujenga Tanzania, tulikuwa bado tumhitaji MKAPA.
 
Huyu jamaa ndiyo chanzo cha matatizo ya mikataba feki na mibovu mingi kisha JK kairidhi hiyo lakini utofauti huyu jamaa alikuwa anafanya manyanga lakini alikuwa anawatumikia wananchi lakini JK yeye anafanya manyanga na anawatumikia mafisadi ambao serikali yake imekiri haiwezi kuwashughulikia kwa sababu ni watu hatari sijui kwa usalama wake au nchi?
 
Hamna shaka watanzania badowana mapenzi ya dhatikwa raisi mstaafu Mkapa, pamoja na matatizo yake yote katika utawala wake ,alijipambanua kama kiongozi jasiri,sio mnafiki aliyekuwa na vision ya dhati ya kujenga Tanzania, tulikuwa bado tumhitaji MKAPA.

Yaani nakupa 100%. Halafu alivyokuwa na uwezo kulinda rasilimali za Taifa, k.v. migodi, mabenki, makampuni, kagoda, meremeta, EPA, Richmond n.k.
WATANZANIA TUNA HAKI YA KUUMIA SABABU TUNAPENDA SANA KU-DEBATE MATATIZO IKIWA NI PAMOJA NA KUBISHANA NANI KATUFIKISHA HAPA TULIPO LEO. TUNA-DEBATE VITU AMBAVYO NI TOO OBVIOUS. HADI LEO HATUJUI NI NANI ALIYEUZA MIGODI YETU, NA HATA TUKIMJUA, KUTAKUWA NA MJADALA MWINGINE WA KARNE, KUJADILI WHETHER ALICHOFANYA NI KIZURI AU NI KIBAYA. TUNAANGALIA LEO TU, WAKATI JANA KUNA MTU ALITUCHIMBIA SHIMO MLANGONI ILI TUJE TUJIKWAE PALE. MIMI SASA HIVI KIMYA, SIONGEI TENA. UNACHOKA
 
kielimu,mkapa alikuwa anajipambanua kama msomi anaye panga maneno na hoja zake, kikwete anaonekana kabisa ni mtu wa kufanya mambo kwa hisia bila kufikiria dhima na mantiki,hana vision ni mnafiki kihalisia, bila ya kutoa maamuzi yy ni mtu wa kudhania tu!
 
Yaani nakupa 100%. Halafu alivyokuwa na uwezo kulinda rasilimali za Taifa, k.v. migodi, mabenki, makampuni, kagoda, meremeta, EPA, Richmond n.k.
WATANZANIA TUNA HAKI YA KUUMIA SABABU TUNAPENDA SANA KU-DEBATE MATATIZO IKIWA NI PAMOJA NA KUBISHANA NANI KATUFIKISHA HAPA TULIPO LEO. TUNA-DEBATE VITU AMBAVYO NI TOO OBVIOUS. HADI LEO HATUJUI NI NANI ALIYEUZA MIGODI YETU, NA HATA TUKIMJUA, KUTAKUWA NA MJADALA MWINGINE WA KARNE, KUJADILI WHETHER ALICHOFANYA NI KIZURI AU NI KIBAYA. TUNAANGALIA LEO TU, WAKATI JANA KUNA MTU ALITUCHIMBIA SHIMO MLANGONI ILI TUJE TUJIKWAE PALE. MIMI SASA HIVI KIMYA, SIONGEI TENA. UNACHOKA

migodi,mabenki kama NBC,MNB,Mambo ya deepgreen,meremeta,kagoda,APE,Kuuza nyumba ,mashirika ya umma na kiwira na jk ndo alihuska MKAPA wala hana hata doa alitakia awe presdent for life tungefika mbali sana
 
Hamna shaka watanzania badowana mapenzi ya dhatikwa raisi mstaafu Mkapa, pamoja na matatizo yake yote katika utawala wake ,alijipambanua kama kiongozi jasiri,sio mnafiki aliyekuwa na vision ya dhati ya kujenga Tanzania, tulikuwa bado tumhitaji MKAPA.

Labda ungenisaidia swali moja tu linaloninisumbuwa kichwa changu, hivi unaposema tulikuwa bado tunamuhitaji Mkapa unamuwakilisha nani? au ulikuwa bado unamuhitaji Mkapa? ni hilo tu mkuu naomba unijibu, nitarudi.
 
Watanzania tunachohitaji si Mkapa, yeye ni historia... Tunachohitaji ni taasisi ya urais iliyoundwa ki-umakini! Hilo tutalifanya tunapounda katiba mpya. Akiingia Muislam au Mkristo, Mmakua au ****** tuweze kumwajibisha anapokua msanii au mdini, fisadi au au mwanamtandao, muoga au mpiga porojo. Tuweze kumwambia ndugu hutufai! Isiwe uhaini kumpumzisha kabla ya miaka 10 ya kuifilisi nchi! Kama ni Mkapa mbona Tanzania inao wengi tu! Ila huu uraisi wa CCM wa kurithishana, kulindana miaka 10 hataa kama mtu kavurunda na kuoneana haya sasa tuseme basi! Na sasa tuache ujinga at rais ametoka dini hii bsi hata kama anavuruga ni wetu tumlinde! Tumeona udhaifu huu kwenye uspika na hata mawaziri wapo wengi tu! Katiba mpya ituwezeshe kuwawajibisha viongozi

NB Sikujua siku hizi JF kuandika M.K.W.E.RE ni neno baya naona hapo juu limewekwa nyota!
 
migodi,mabenki kama NBC,MNB,Mambo ya deepgreen,meremeta,kagoda,APE,Kuuza nyumba ,mashirika ya umma na kiwira na jk ndo alihuska MKAPA wala hana hata doa alitakia awe presdent for life tungefika mbali sana

Una akili sana; natamani ningekuwa nakufahamu! Sijataja mtu, umemtaja wewe!
 
Hamna shaka watanzania badowana mapenzi ya dhatikwa raisi mstaafu Mkapa, pamoja na matatizo yake yote katika utawala wake ,alijipambanua kama kiongozi jasiri,sio mnafiki aliyekuwa na vision ya dhati ya kujenga Tanzania, tulikuwa bado tumhitaji MKAPA.
ukiwa na mfumo mzuri wa utawala hata wewe na si Mkapa tu mawazo yako yatasaidia kuendesha nchi hii. What do I mean: kwa mfano sasa hivi uongozi unaamini kuwa 2+2=22 akitokea mwalimu anayesema 2+2=4 hata kama yupo Nkasi, Kamachumu, Namtumbo, Usoke ndani ndani nk lazima tumkubalie, bali mfumo hauruhusu!!! Ndiyo maana Mh. Mbowe aliwahi kutamka kuwa kwa mfumo wa utawala Tanzania hata akishuka malaika kutoka mbinguni hawezi kubadilisha chochote! ...lakini alijitahidi akashindwa kumaliza mkia maskini!!!
 
safi sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!public enemy no.1 miaka mitano ya mwanzo aaaaaaah,alifanya vizuri lakini ile mitano ya mwisho wenye akili za kifisadi walimvaa wakamsomesha wakimsadikisha kuwa atatoka masikini baada ya miaka yake mitano kumalizika akakubali tabia ikabadilika kabisa akawa mjeuri,kiburi kingi,majibai,mkaidi vitisho etc.Bora kama bado unamhitaji basi awe raisi wako nyumbani kwako.:dance:
 
ukweli utabakia kuwa ingawa amekuwa akilalamikiwa kwa kuruhusu watu wake kuingia kwenye mikataba mibovu lakini aliweza kufanya vitu ambavyo viliweza kuonekana machoni pa watanzania. si taarabu tunazoziona sasa maana hata ukimuuliza mtu yoyte asiye na ufahamu wa kutosha kuhusu maendeleo kuwa nini serikali ya sasa imefanyajibu ni ZERO maana mengi ni yale ya bwana ben. so raisi aliyepo madarakani si stahili na anakosa uhalali kwa sababu si mtu aliye na uwezo wa kuongoza na kusimamia kikamilifu rasilimali za taifa hili.
 
Ni kweli mkapa alikuwa na matatizo yake,lakini huyu bwana alikuwa na vision ya maendeleo ya TZ,km unakumbuka wakati anaondoka alifananisha uchumi wetu na ndege inayo"take off",angepata miaka mingine 10,2ngefika mbali sana.tungelekebisha alipokosea tu.
 
Mkapa is fully responsible for our predicament today. He betrayed the trust and helped put Kikwete in power. Whatever good he may have done has been negated by the evils we are experiencing.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Re: Tulikuwa bado tunamhitaji BENJAMIN MKAPA kama Raisi wetu kwa maeneleo yetu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom