Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,177
- 7,699
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu, slogan ile ya Tanzania ya viwanda je shangaz ana hoja?
Sasa ni Tanzania yakupambana na Chadema.Nakumbuka miaka ya mwazo ya mwendazake wimbo wa viwanda uliimbwa sana na tukaambiwa mtu ukiwa vyerehani vinne basi unakiwanda.
Wakaenda mbele zaidi na kusema kila mkoa unaviwanda zaidi ya 100 (hapa figure siikumbuki vizuri ila ilikua kubwa).
Sasa najiuliza je viwanda siku hizi vimeishia wapi? Mbona wanasiasa hawaimbi tena wimbo wa viwanda?
Sasa mbona siku hizi hatuusikii wimbo wa Tz ya viwanda?Njoo mkoa wa Pwani ujionee Tanzania ya viwanda inavyomeremeta.
Ukifungia na gaidi ufipa hutaelewa chochote.
AiseeSasa ni Tanzania yakupambana na Chadema.
Tuliambiwa Tz kuna viwanda 8400 vipya!!Mbwembwe na takwimu hewa moja ya legacy kubwa ya Mwendazake.
Duuh..!!hivi kwenye hostoria ya dunia.. kumewahi tokea Dictator jike...?
Ndiyo zimefanya tuingie uchumi wa kati.Nakumbuka miaka ya mwazo ya mwendazake wimbo wa viwanda uliimbwa sana na tukaambiwa mtu ukiwa vyerehani vinne basi unakiwanda.
Wakaenda mbele zaidi na kusema kila mkoa unaviwanda zaidi ya 100 (hapa figure siikumbuki vizuri ila ilikua kubwa). Na tukaambiwa mpaka mwaka jana Tz kuna viwanda zaidi ya 8400!
Sasa najiuliza je viwanda siku hizi vimeishia wapi? Mbona wanasiasa hawaimbi tena wimbo wa viwanda?
Kama kila cherehani nne ni kiwanda, nadhani Tz mpaka kuondoka kwake tulikuwa na viwanda zaidi ya laki tano ukichanganya na midaraja ya ubungo na Tazara.Hiki ktu nlikua najiuliza jana hv mbna wimbo wa Tanzania ya viwanda siusikii? Au kwa sababu sisikilizi taarifa ya habari sku hz?
Tangu Rais achukue madaraka hajazindua hata kimoja. Vile vilivyokuwa vinajengwa viko wapi?Nakumbuka miaka ya mwazo ya mwendazake wimbo wa viwanda uliimbwa sana na tukaambiwa mtu ukiwa vyerehani vinne basi unakiwanda.
Wakaenda mbele zaidi na kusema kila mkoa unaviwanda zaidi ya 100 (hapa figure siikumbuki vizuri ila ilikua kubwa). Na tukaambiwa mpaka mwaka jana Tz kuna viwanda zaidi ya 8400!
Sasa najiuliza je viwanda siku hizi vimeishia wapi? Mbona wanasiasa hawaimbi tena wimbo wa viwanda?
🤣🤣🤣🤣Kama kila cherehani nne ni kiwanda, nadhani Tz mpaka kuondoka kwake tulikuwa na viwanda zaidi ya laki tano ukichanganya na midaraja ya ubungo na Tazara.
Magufuli aliagiza kila mkoa vijengwe viwanda. Mkoa wa Pwani waliitikia, wakaanzisha vingi tu. Ila ni ile aina ya viwanda vya Mwijage. Ukiwa na wake 4 una kiwanda cha kuzalisha watotoNjoo mkoa wa Pwani ujionee Tanzania ya viwanda inavyomeremeta.
Ukifungia na gaidi ufipa hutaelewa chochote.
India ingekua Nchi MASIKINI?Tuwakaribishe tena WAHINDI warudi kutujengea viwanda kadha wa kadha....
(Rejea miaka ya 60s)
Wahindi wapo vizuri ktk viwanda...
Mkuu mwenye macho haambiwi tazama viwanda vipo vingi tu mbona? Vyerehani vyooote hivyo we huvioni?Tangu Rais achukue madaraka hajazindua hata kimoja. Vile vilivyokuwa vinajengwa viko wapi?