Tulikotoka: Hamisa Mobetto akimaliza Masomo yake Kidato cha Nne Tandale Sekondari

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,115
Wana JF

Napenda kuona mpambanaji HM anavyochanja mbuga kuliko watoto wa ushuani, mtoto huyu kipindi cha nyuma alipotoka shule zote Saint Kayumba Tandika Secondary. Ona sasa anavyoizingua dunia, kupata mchumba mwenye hadhi duniani sio mchezo.

FFJH5k5X0AA5blH.jpeg


FFI3cwpWYAc6FAQ.jpeg


FFMBC_6XMAQqECU.jpeg


FFMFbsMXMAca7tg.jpeg
 
Tandale Sekondari ndiyo shule gani? Nimesoma shule moja hivi maeneo ya sinza na pale kulikua na njia ya Tandale kulikua na shule mbili za Sekondari moja ni Salma Kikwete na nyingine Manzese ukisogea mbele kuja Sinza kuna private iliitwa Sinza Iteba.

Kwa kuangalia hizo sare ni ama za Kenton au Boko Sekondari. Ila kwa upana wa huo uwanja na majengo haiwezi kua Kenton.
 
Tandale Sekondari ndiyo shule gani? Nimesoma shule moja hivi maeneo ya sinza na pale kulikua na njia ya Tandale kulikua na shule mbili za Sekondari moja ni Salma Kikwete na nyingine Manzese ukisogea mbele kuja Sinza kuna private iliitwa Sinza Iteba.

Kwa kuangalia hizo sare ni ama za Kenton au Boko Sekondari. Ila kwa upana wa huo uwanja na majengo haiwezi kua Kenton.
Tandika sekondari 2011 form 4 leaver.
 
  • Thanks
Reactions: R.K
Kwa hiyo umeona kabisa anayofanya ni mazuri na unayatamani??? Tanzania kazi kweli kweli!
Hivi mwanamke amezaliwa ili afanye nini? Si apate mume aolewe? Na process ya kuolewa ni kuanzia uchumba! Hapo HM ana kosa lipi? Si amempata mchumba anayejiweza kifedha, lazima tumpongeze ili mwisho wa yote aolewe kwa ndoa takatifu. Husda yako inatokea wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom