kelao
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 8,132
- 5,785
Kupeleka papuch marekani sio mchezo, za hapa zinagongwa na mabodaboda tuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupeleka papuch marekani sio mchezo, za hapa zinagongwa na mabodaboda tuu.
Ndio akaanza kudanga na maisha
Alihojiwaga akasema anasoma chuo cha sanaa bagamoyo na km swala ni pesa atapata tu!na kweli Mungu kampa!!Ndio akaanza kudanga na maisha
Tatizo ukizubaa dar mtoto ananyanduliwa na waendesha bajaji feri. Bora huyu ananyanduliwa maji alafu akija huku inaingiza taifa dolali.Alihojiwaga akasema anasoma chuo cha sanaa bagamoyo na km swala ni pesa atapata tu!na kweli Mungu kampa!!
Hamisa, akikupa Mzigo hutokula??Nilimsikia akisema Dubai alienda kwa biashara zake jameni ba ndio hizo alizopeleka Kunyanduliwa sasa Nyie mmeona ni issue kubwa Huyu Mwache anyanduliwe na Iphone na Laptop apewe wala hamna Kingine kipya...
RICK Ross atakua alitumia Nyoka wake wakamtaftia mlupo ni kawaida hata nyie mkisafiri mnauliza hapa Jirani kuna Mlupo mzuri wenyeji wanakuletea....
Lakini si ndio mtaji wake?Uyu binti akili zake zote zimeamia kwenye papuchi , anawaza, anakula ,ananusa, anasikia anaongea na anahisi kwa kutumia papuchi .papuchi yake ndo kila kitu kwake,
Ni mkurya?HUYU HAMISA ASILI YAKE NI TARIME SEMA HUWA ANABISHA
Sema mwenzangu, sisi tunaodili na wachovu pole yetu, Dubai tunaisikia tu.Hivi mwanamke amezaliwa ili afanye nini? Si apate mume aolewe? Na process ya kuolewa ni kuanzia uchumba! Hapo HM ana kosa lipi? Si amempata mchumba anayejiweza kifedha, lazima tumpongeze ili mwisho wa yote aolewe kwa ndoa takatifu. Husda yako inatokea wapi?
Pole zenuSema mwenzangu, sisi tunaodili na wachovu pole yetu, dubai tunaisikia tu.
One day yes! Usikate tamaaSema mwenzangu, sisi tunaodili na wachovu pole yetu, dubai tunaisikia tu.
Imenibidi nichekeHizi nchi zetu kupiga hatua ni ngumu mno cause tuna watukuza "vilaza"
Na kupuuza mambo ya msingi
Huyo dem kugongwa na Rick Ross imekuwa habari nchi nzima
Trump alikua sahihi, shit-hole countries
Alimaliza form four shule moja hivi kigamboni kapata zero takatifu
Mmoja wa wazazi wake ni mkurya, sijui ni baba au mama.
Alimaliza akala four yake ya 33.
Hizi pesa wacha ziitwe sabuni ya roho,hii minyama khaa ,naona atakuwa anaogelea tu kwa binti wa Tandika
Alirudi tena shule maana nakumbukaga alikua alianzia pale perfect vision akaacha kabisa miaka ya 2007 hivi...!!ila kajitahidi sana kwa ule mcharuko!Alimaliza akala four yake ya 33.
Matokeo ya lulu kidato cha nne haya hapa
ama kweli Hesabu ugonjwa wa taifa......mfano Lulu alianza la kwanza mwaka 2001 mpaka 2006 (na si 2007) atakuwa amehitimu la saba na 2007 mpaka 2010 (na si 2011) form four utata uko wapi hapo...na ikumbukwe si kila anaeanza la kwanza lazima asome miaka saba au nimeshuudia watoto wakirukishwa...www.google.com
Lulu 93? Daaaah.Aahh!wapi hana huo ubavu...looh!hao akina Wema,Uwoya na Wolpa...!!!
Lulu wa 93...ujue
Sent using Jamii Forums mobile app