Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,107
- 18,323
Kumbuka haya mambo
1. Pesa za rambirambi zimeliwa huku watu wanalala nje na wengine kufa wakati walio kula rambirambi wanafurahia maisha na kushangilia.
2. Wanafunzi wasio na hatia wakaitwa vilazoo na kufukuzwa chuoni kama wezi .
3. Maalim seif anaambiwa asipewe fedha za matibabu eti kwa sababu hakutoa mkono.
4. Chama cha wana nch CUF toka augost 2016 kinanyimwa ruzuku na msajiri wa vyama kwa sababu halitaki kumkubali lipumba ambaye alijiuzuru kwa kupewa fedha na ccm ili ajitoe ukawa.
5. Sumaye ananyang'anywa shamba lake kwa sababu eti alihamia upinzania.
6.Lema ananyimwa dhamana na serikali japo hakimu kampa dhamana ili kumkomoa .
7. Wananchi wanafurahia viongozi kutumbuliwa au matajiri kufilisiwa na serikali utadhani wao ndio watakua matajiri ..
Binafsi naona hii roho ya visasi na visa inatupeleka pabaya sana. Viongozi wanawahadaa wananchi kuwafurahisha kwa mabaya na mateso wanayo fanyiwa wengine.
Watanzania hatujajengwa katika misingi hiyo, tumejengwa katika misingi ya upendo na umoja, ya kutu kubaguana wala kutakia mabaya.
baada ya hawa kuisha wananchi ndio tutakua katika zamu ta kufanyiwa mabaya na huo ndio utakua mshahara wetu was kushabikia watu wenye roho mbaya.
.......
1. Pesa za rambirambi zimeliwa huku watu wanalala nje na wengine kufa wakati walio kula rambirambi wanafurahia maisha na kushangilia.
2. Wanafunzi wasio na hatia wakaitwa vilazoo na kufukuzwa chuoni kama wezi .
3. Maalim seif anaambiwa asipewe fedha za matibabu eti kwa sababu hakutoa mkono.
4. Chama cha wana nch CUF toka augost 2016 kinanyimwa ruzuku na msajiri wa vyama kwa sababu halitaki kumkubali lipumba ambaye alijiuzuru kwa kupewa fedha na ccm ili ajitoe ukawa.
5. Sumaye ananyang'anywa shamba lake kwa sababu eti alihamia upinzania.
6.Lema ananyimwa dhamana na serikali japo hakimu kampa dhamana ili kumkomoa .
7. Wananchi wanafurahia viongozi kutumbuliwa au matajiri kufilisiwa na serikali utadhani wao ndio watakua matajiri ..
Binafsi naona hii roho ya visasi na visa inatupeleka pabaya sana. Viongozi wanawahadaa wananchi kuwafurahisha kwa mabaya na mateso wanayo fanyiwa wengine.
Watanzania hatujajengwa katika misingi hiyo, tumejengwa katika misingi ya upendo na umoja, ya kutu kubaguana wala kutakia mabaya.
baada ya hawa kuisha wananchi ndio tutakua katika zamu ta kufanyiwa mabaya na huo ndio utakua mshahara wetu was kushabikia watu wenye roho mbaya.
.......