Tulijuwa na kweli imekuwa, je itakuwaje 2015

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,188
11,219
Tulijuwa na kweli imekuwa je tutegeme nini 2015 ni mawazo yangu binafsi nikiunganisha na mawazo ya wazee wetu waliokwisha tangulia mbele za haki. Taifa letu Tanzania ktk kipindi hiki linapita kipindi kigumu na cha dhiki ambacho uwenda hakijawah kutokea tangu kuzaliwa taifa hili 1961. Haya tunayo yaona na yale tutakayo yaona ni mwanzo wa utungu tu ila bado mtoto hajazaliwa, lakini kinachosikitisha sana viongozi waliopita waliyajuwa haya na uwenda yaliwasumbua sana mioyon mwao lakini at the last yametokea. Taifa hili leo linashuhudia idadi kubwa yawatu wasio kuwa na ajira na uwenda hata wale wana ajira zikawa matatani kutokana na uchumi ulioharibika chini ya mkuu wetu japo walijuwa na kweli imetokea. Taifa hili limepata mpasuko mkubwa ktk umoja wa kitaifa, vijana hawana uzalendo, pia muungano ndio kabisa wanataka kuuvunja hata leo lakini walijuwa na kweli imetokea. Taifa limekosa dira na mwelekeo na sasa tunashuhudia mvutano mkali kati ya wakristo na waislam ila embu jiulize hawakujuwa haya? Lahasha walijuwa na kweli imetoke. Sekta ya fedha imetoka ktk ma bank nakuwa ya makampuni ya simu wakati mabank yaki haha jinsi yakupata wateja na ukwasi? Je hawakujuwa haya? Walijuwa na kweli yametoke. Ktk kipindi ambacho sisi watanzania tukisubiri maisha bora kwa kila mtanzania imekuwa maisha bora kwa kila alie na nafasi ndani ya serikali wakati wengi masikini wakiwa mafukara wakutupa. Je chama tawala na yale yanaendelea hawakujuwa? Bila shaka walijuwa ila nilazima watanzania wajuwe ipo siri nzito tusio ijuwa inaendelea ndani ya chama hiki ili kushika hatam 2015, je ni siri gani? Hiki ni kiza kinene kinacho endelea ila napenda kusema siri itafichuka 2014 kama sio 2013. Nilazima watanzania wajuwe hii nchi ipo chini ya Yeye alio ifanya na hakuna mpango wa mwanadam utafanikiwa, 2015 nilazima watanzania wajuwe jambo litatokea nalo litaleta ukimya mzito na watu watajuwa Mungu yupo. Thanks.
 
Tulijuwa na kweli imekuwa je tutegeme nini 2015 ni mawazo yangu binafsi nikiunganisha na mawazo ya wazee wetu waliokwisha tangulia mbele za haki. Taifa letu Tanzania ktk kipindi hiki linapita kipindi kigumu na cha dhiki ambacho uwenda hakijawah kutokea tangu kuzaliwa taifa hili 1961. Haya tunayo yaona na yale tutakayo yaona ni mwanzo wa utungu tu ila bado mtoto hajazaliwa, lakini kinachosikitisha sana viongozi waliopita waliyajuwa haya na uwenda yaliwasumbua sana mioyon mwao lakini at the last yametokea. Taifa hili leo linashuhudia idadi kubwa yawatu wasio kuwa na ajira na uwenda hata wale wana ajira zikawa matatani kutokana na uchumi ulioharibika chini ya mkuu wetu japo walijuwa na kweli imetokea. Taifa hili limepata mpasuko mkubwa ktk umoja wa kitaifa, vijana hawana uzalendo, pia muungano ndio kabisa wanataka kuuvunja hata leo lakini walijuwa na kweli imetokea. Taifa limekosa dira na mwelekeo na sasa tunashuhudia mvutano mkali kati ya wakristo na waislam ila embu jiulize hawakujuwa haya? Lahasha walijuwa na kweli imetoke. Sekta ya fedha imetoka ktk ma bank nakuwa ya makampuni ya simu wakati mabank yaki haha jinsi yakupata wateja na ukwasi? Je hawakujuwa haya? Walijuwa na kweli yametoke. Ktk kipindi ambacho sisi watanzania tukisubiri maisha bora kwa kila mtanzania imekuwa maisha bora kwa kila alie na nafasi ndani ya serikali wakati wengi masikini wakiwa mafukara wakutupa. Je chama tawala na yale yanaendelea hawakujuwa? Bila shaka walijuwa ila nilazima watanzania wajuwe ipo siri nzito tusio ijuwa inaendelea ndani ya chama hiki ili kushika hatam 2015, je ni siri gani? Hiki ni kiza kinene kinacho endelea ila napenda kusema siri itafichuka 2014 kama sio 2013. Nilazima watanzania wajuwe hii nchi ipo chini ya Yeye alio ifanya na hakuna mpango wa mwanadam utafanikiwa, 2015 nilazima watanzania wajuwe jambo litatokea nalo litaleta ukimya mzito na watu watajuwa Mungu yupo. Thanks.

Mambo mazito umetamka katika jamv,i ili kuweka sawa thread yako tuweze kuchangia kwa unyofu funguka zaidi katika hiyo siri nzito.
 
Back
Top Bottom