chawa wa mama
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 289
- 1,070
1. Tume huru inayowajibika kwa wapiga kura sio kwa serikali au mtu.
2. Kupima afya za akili za wagombea kabla hata ya kuchukua fomu, tena na daktari maalumu.
3. Kuweka ukomo kwa wagombea ubunge.
4. Kigezo cha uwajibikaji kipimwe na tume maalumu, iwe rais, mbunge au diwani. Kama ni rais ikiona hawajibiki imwondoe madarakani kwa kura za wananchi sio bungeni.
5. Jaji mkuu apatikane kwa kupigiwa kura na wananchi wote.
6. Jaji mkuu, M/Rais au Waziri Mkuu au Rais akistaafu waondolewe kinga ya kushtakiwa.
7. Suala la ajira kuingizwe ktk katiba, tuweke kiwango cha ajira, mfano wasioajiriwa ktk nchi wakifika idadi tutakayojiwekea, basi rais huyo hatufai, aondolewe madarakani.
8. Wakuu wa majeshi wote, waidhinishwe na bunge, na bunge liwe na uwezo wa kuwaondoa madarakani.
Salaam sana!!!!
2. Kupima afya za akili za wagombea kabla hata ya kuchukua fomu, tena na daktari maalumu.
3. Kuweka ukomo kwa wagombea ubunge.
4. Kigezo cha uwajibikaji kipimwe na tume maalumu, iwe rais, mbunge au diwani. Kama ni rais ikiona hawajibiki imwondoe madarakani kwa kura za wananchi sio bungeni.
5. Jaji mkuu apatikane kwa kupigiwa kura na wananchi wote.
6. Jaji mkuu, M/Rais au Waziri Mkuu au Rais akistaafu waondolewe kinga ya kushtakiwa.
7. Suala la ajira kuingizwe ktk katiba, tuweke kiwango cha ajira, mfano wasioajiriwa ktk nchi wakifika idadi tutakayojiwekea, basi rais huyo hatufai, aondolewe madarakani.
8. Wakuu wa majeshi wote, waidhinishwe na bunge, na bunge liwe na uwezo wa kuwaondoa madarakani.
Salaam sana!!!!