only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
...TUNAPOELEKE UKINGONI MWA KIKAO CHA BUNGE LA BAJETI,NA KAMA UMEKUWA MFATILIAJI MZURI WA VIKAO VYA BUNGE HILI..NAOMBA MAONI YAKO KUHUSU MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI HAWA..................NANI KILAZA NA NANI MTENDAJI MZURI...
Orodha ya Baraza la Mawaziri na Manaibu wa Wizara za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2010 - 2015
1. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora - Mathias Chikawe
2. Waziri wa Nchi, Mahusiano na Uratibu - Steven Wassira
3. Waziri wa Nchi, Menejimenti ya Utumishi wa Umma - Hawa Ghasia
4. Ofisi ya Makamu wa Rais Waziri anayeshughulikia Muungano - Samia Suluhu Hassan
5. Waziri wa Nchi Mazingira - Dk. Therezia Luoga-Kovisa
6. Ofisi ya Waziri Mkuu, Waziri wa Nchi wa Sera Uratibu na Bunge - William Lukuvi
7. Waziri wa Nchi, Uwekezaji na Uwezeshaji - Maria Nagu
8. Waziri wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - George Mkuchika
9. Naibu Waziri Tawala za Mikoa - Aggrey Mwanri
10. Naibu Waziri Wizara ya Elimu, Masuala ya Elimu - Kassim Majaliwa
11. Waziri Wizara ya Fedha - Mustapha Mkullo
12. Naibu Waziri Wizara ya Fedha (i) - Gregory Theu
13. Naibu Waziri Wizara ya Fedha (ii) - Pereira Silima
14. Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi - Shamsi Vuai Nahodha
15. Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nch- Balozi Khamis Sued Kagasheki
16. Waziri wa Katiba na Sheria - Selina Kombani
17. Waziri Wizara ya Mambo ya Nje - Bernard Membe
18. Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Nje - Mahadhi Juma Mahadhi
19. Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa - Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi
20. Waziri Wizara yaMaendeleo ya Mifungo - Dk. Mathayo David Mathayo
21. Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Mifungo - Benedict Ole Nangoro
22. Waziri Wizara ya Mawasiliano Sayansi ya Teknolojia - Profesa Makame Mnyaa M'barawa
23. Naibu Waziri Wizara ya Mawasiliano Sayansi ya Teknolojia - Charles Kitwanga (almaaruf Mawe Matatu)
24. Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi - Profesa Anna Kajumulo-Tibaijuka
25. Naibu Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi - Goodluck Ole Medeye
26. Waziri Wizara ya Maliasili na Utalii - Ezekiel Maige
27. Waziri Wizara ya Nishati na Madini - William Mghanga Ngeleja
28. Naibu Waziri Wizara ya Nishati na Madini - Adam Kighoma Ali Malima
29. Waziri Wizara ya wa Ujenzi (Barabara na Viwanja vya Ndege) - John Pombe Magufuli
30. Naibu Waziri Waziri Wizara ya wa Ujenzi - Dk. Harrison Mwakyembe
31. Waziri Wizara ya Uchukuzi - (Reli, Bandari, Usafiri wa Majini) - Omary Nundu
32. Naibu Waziri Wizara ya Uchukuzi - Athuman Mfutakamba
33. Waziri Wizara ya Viwanda na Biashara -Dk. Cyril Chami
34. Naibu Waziri Wizara ya Viwanda na Biashara - Lazaro Nyalandu
35. Waziri Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi - Dk. Shukuru Kawambwa
36. Naibu Waziri Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi - Philipo Mulugo
37. Waziri Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii - Dk. Haji Hussein Mpanda
38. Naibu Waziri Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii - Dk. Lucy Nkya
39. Waziri Wizara ya Kazi na Ajira - Gaudensia Kabaka
40. Naibu Waziri Wizara ya Kazi na Ajira - Dk. Makongoro Mahanga
41. Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto - Sophia Simba
42. Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto - Ummy Ali Mwalimu
43. Waziri Wizara ya Elimu, Habari, Vijana na Michezo - Emmanuel John Nchimbi
44. Naibu Waziri Wizara ya Elimu, Habari, Vijana na Michezo - Dk. Phenela Mukangala
45. Waziri Wizara ya Ushirikiano Afrika Mashariki - Samuel John Sitta
46. Naibu Waziri Wizara ya Ushirikiano Afrika Mashariki - Abdallah Juma Abdallah
47. Waziri Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika - Profesa Jumanne Maghembe
48. Naibu Waziri Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika - Christopher Chizza
49. Waziri Wizara ya Maji - Profesa Mark James Mwandosya
50.Naibu Waziri Wizara ya Maji - Jerryson Lwenge