Tuliambiwa Rais Magufuli haendi nje ili kulinda fedha za wanyonge, vipi wizi wote huu?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,184
103,682
Sote tunakumbuka rais aliwahi kutoa tamko hawezi kuwa anadhurura ughaibuni na kuacha fedha za wanyonge zinaibwa.

Sasa najiuliza kama watu wanajichotea wanavyotaka maana yake nini? Kama wale wazee wa bodi wanakula chapati na kuburudisha matumbo kwa bilioni 1,rais amebaki nchini kulinda nini?

Ripoti ya CAG imeonyesha dhahiri walinzi wa fedha za umma wamelala,hata wanapoamshwa na CAG bado wanalaumu kwa nini wanaamshwa.

Nimeshtuka pia kusikia trillion 4.8 hazijulikani zilipo. Inakuwaje zisijulikane wakati tunaye mlinzi JPM Hapa kazi tu yupo macho 24/7?

Tunakwama wapi kama nchi?
 
Kuna mahala tunakwama kama nchi
Hili swala sio la taasisi ya urais pekee
Hili lilitakiwa kuwa debated at all
 
Hana tofauti na mabeberu tuu ..bora ata acacia


If it isn’t perfect ,it’s not good enough
 
Sote tunakumbuka rais aliwahi kutoa tamko hawezi kuwa anadhurura ughaibuni na kuacha fedha za wanyonge zinaibwa.

Sasa najiuliza kama watu wanajichotea wanavyotaka maana yake nini? Kama wale wazee wa bodi wanakula chapati na kuburudisha matumbo kwa bilioni 1,rais amebaki nchini kulinda nini?

Ripoti ya CAG imeonyesha dhahiri walinzi wa fedha za umma wamelala,hata wanapoamshwa na CAG bado wanalaumu kwa nini wanaamshwa.

Nimeshtuka pia kusikia trillion 4.8 hazijulikani zilipo. Inakuwaje zisijulikane wakati tunaye mlinzi JPM Hapa kazi tu yupo macho 24/7?

Tunakwama wapi kama nchi?

CCM haina tofauti na shetani. Shetani haaminiki...
 
Sote tunakumbuka rais aliwahi kutoa tamko hawezi kuwa anadhurura ughaibuni na kuacha fedha za wanyonge zinaibwa.

Sasa najiuliza kama watu wanajichotea wanavyotaka maana yake nini? Kama wale wazee wa bodi wanakula chapati na kuburudisha matumbo kwa bilioni 1,rais amebaki nchini kulinda nini?

Ripoti ya CAG imeonyesha dhahiri walinzi wa fedha za umma wamelala,hata wanapoamshwa na CAG bado wanalaumu kwa nini wanaamshwa.

Nimeshtuka pia kusikia trillion 4.8 hazijulikani zilipo. Inakuwaje zisijulikane wakati tunaye mlinzi JPM Hapa kazi tu yupo macho 24/7?

Tunakwama wapi kama nchi?
Ni mbinafsi anaka aibe yeye tu, wengine wakiiba wanaitwa mafisadi
 
Sote tunakumbuka rais aliwahi kutoa tamko hawezi kuwa anadhurura ughaibuni na kuacha fedha za wanyonge zinaibwa.

Sasa najiuliza kama watu wanajichotea wanavyotaka maana yake nini? Kama wale wazee wa bodi wanakula chapati na kuburudisha matumbo kwa bilioni 1,rais amebaki nchini kulinda nini?

Ripoti ya CAG imeonyesha dhahiri walinzi wa fedha za umma wamelala,hata wanapoamshwa na CAG bado wanalaumu kwa nini wanaamshwa.

Nimeshtuka pia kusikia trillion 4.8 hazijulikani zilipo. Inakuwaje zisijulikane wakati tunaye mlinzi JPM Hapa kazi tu yupo macho 24/7?

Tunakwama wapi kama nchi?
Uliambiwa na nani mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom