secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,609
Una roho ya hasidi ww mama mzee....
furaha yako ni kuona watz wanakufa wengi kwa corona ili u prove point....!!??
what a shame
Una roho ya hasidi ww mama mzee....
Hii kitu ikija haina ufipa wala ugogo. Bora ungeelekeza akili zako kwenye kujikinga. Wafadhili wako wanaweza wasikumbuke kuwa wana mbwaKuna haya manyumbu ya ufipa ni bure kabisa,!
Yanapata hasira kweli yakiona hali haiwe kama yanavyotaka iwe!
Angalia kama hilo li mengele
Sent using Jamii Forums mobile app
Corona inapukutisha watu Dar. Kuna wanaolalamika ndugu zao kuzikwa kinguvu na Mamlaka Dar huko Bahari Beach, Buza na Mbweni - JamiiForumsKuna wazungu Fulani na waimba mapambio walikuwa wanasema wiki mbili zijazo hali itatisha
Leo ni ijumaa lakini tunadunda tu kama kawaida wiki ya pili inaisha wagonjwa hata 1000 hawajafika
.
Kuna Mrs Billgate yeye aliongea kuwa tutakuwa tunaokota maiti mitaani lakini wiki ya pili inaisha hali iko kawaida
Kuna wakati ujuaji wa wanadamu hukwama kwa uwezo wa mwenyezi Mungu
Watu wajifunze kuwa kuna Mungu aliyewaumba na ndiye mtetezi wa wote kwenye shida na raha
Ndio hatupimi na bado tunadunda . sasa utabiri wao kuwa tutakuwa tunaokota maiti barabarani upo wapii ?
Weka clip tuwaone hao wanaokimbia mkuu.Wee mama ni pumbavu kabisa..
Wale wagonjwa waliokimbia jana Amana kwa kukosa huduma kwako ni kawaida eehh?
Wagonjwa wanatoa maiti wao wenyewe wodini kwa kukosa wahudumu kwako ni normal kabisa..!?
Lofa wewe.
Unaweza ukawa unadunda nao, na unaudundisha kwa wenzako. Haupimwi kwa macho. Na huo utamaduni wa kutokupima mpaka usikie kuumwa ndio hatari kwa huu ugonjwa.Wapimwe kwani wanaumwa? Utamaduni wetu ni kupima pale unapojisikia unaumwa. Sasa mie nadunda mtaani alafu unaniambia hali ni mbaya?
Si kweli,tunachotaka ni takwimu sahihi ili tuwe serious!mwongo wewe. Wewe na wenzako wenye roho kama yako mnatamani tungekufa kama kuku. Roho inawauma .
Mkuu kwanini utumie nguvu kubwa kiwatisha watu?Ktk familia yako au ukoo wako kuna mwenye CORONA au kafa corona na mwanzo alikua mzima?Elewa ni ugonjwa wa kawaida ila umekuja na propaganda za kutosha.
Senti bai yuzingi tecno T301
Sasa kama ninadunda na ninodunda nao wanadunda sasa hatari ipo wapi?Unaweza ukawa unadunda nao, na unaudundisha kwa wenzako. Haupimwi kwa macho. Na huo utamaduni wa kutokupima mpaka usikie kuumwa ndio hatari kwa huu ugonjwa.
Tuwe serious tuache mzaha!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
BBC/Swahili Leo asubuhi wamesema Mwamerika amethibitisha kuwa Corona virus anakufa na mwanga wa jua. It is true sitaniiKuna wazungu Fulani na waimba mapambio walikuwa wanasema wiki mbili zijazo hali itatisha
Leo ni ijumaa lakini tunadunda tu kama kawaida wiki ya pili inaisha wagonjwa hata 1000 hawajafika
.
Kuna Mrs Billgate yeye aliongea kuwa tutakuwa tunaokota maiti mitaani lakini wiki ya pili inaisha hali iko kawaida
Kuna wakati ujuaji wa wanadamu hukwama kwa uwezo wa mwenyezi Mungu
Watu wajifunze kuwa kuna Mungu aliyewaumba na ndiye mtetezi wa wote kwenye shida na raha
Achana na huyo mpika data bibie
Saguda47 amelikeKuna wazungu Fulani na waimba mapambio walikuwa wanasema wiki mbili zijazo hali itatisha
Leo ni ijumaa lakini tunadunda tu kama kawaida wiki ya pili inaisha wagonjwa hata 1000 hawajafika
.
Kuna Mrs Billgate yeye aliongea kuwa tutakuwa tunaokota maiti mitaani lakini wiki ya pili inaisha hali iko kawaida
Kuna wakati ujuaji wa wanadamu hukwama kwa uwezo wa mwenyezi Mungu
Watu wajifunze kuwa kuna Mungu aliyewaumba na ndiye mtetezi wa wote kwenye shida na raha
Mkuu umebakiza siku ngapi karatini?Una roho ya hasidi ww mama mzee....
furaha yako ni kuona watz wanakufa wengi kwa corona ili u prove point....!!??
what a shame
Wacha MATUSI KIJANA ,,wakati NYERERE anaongoza PENGINE hata KAMASI HAZIJAKUTOKA PUANI...hebu nipe SABABU ulizohadithiwa na WAKUBWA ZAKO kile KIBAYA ALICHOKIFANYA NYERERE kikatufikisha hapa,,,,LEOLaanatullahi nyerere ndio fala kabisa hapo , yeye ndiye katufikisha hapa tulipo leo
Mama lwakatare anaweza kukomenti hivi ulivyokoment?God is good na hajawahi kushindwa...