Kapwil
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 2,625
- 3,727
Sasa wewe uliyefanya utafiti si utwambie tujuei
Inaelekea hata hujui wala kufahamu unachokiandika.
Hebu fanya kautafiti kwanza kabla ya kucheza na vidole
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe uliyefanya utafiti si utwambie tujuei
Inaelekea hata hujui wala kufahamu unachokiandika.
Hebu fanya kautafiti kwanza kabla ya kucheza na vidole
Aisee ww ndio umekosea sana mkuu. Ulichoelezea ni ukubwa wa ndege.. na si kivingine.Airbuss zilizokuja Tanzania ni Airbus 200-220 na Ndege za Airbus za kisasa kabisa ni Airbus A350 xwb
View attachment 983610
Jamaa amekosea kwenye maelezo yake. Kwanza hakuna ndege inaitwa A220- 200 haipo.
Hapana . Zilitolewa mbili tu A220 -300 na A220 -100 . Hakuna inayoitwa A220 -200.Airbus 200 - 220 series kwa jina jingine anaweza ita Bombadier CSeries. Yaani ni upgrade ya zile Bombadier tulizonazo.
Uvivu wenu isiwe sababu ya kusumbua wengine kwenye mambo ambayo yamekwisha zungumziwa na wengi humu jamvini. Aidah peruzi humu ndani au fanya utafiti.
Leta hapa tusome acha hizoUvivu wenu isiwe sababu ya kusumbua wengine kwenye mambo ambayo yamekwisha zungumziwa na wengi humu jamvini. Aidah peruzi humu ndani au fanya utafiti.
Sisi tunasonge mbele ila wewe unaruhusiwa kubaki hapo ulipo hadi utakapokutana na wanaoshabihiana nawe kifikra.
Airbuss zilizokuja Tanzania ni Airbus 200-220 na Ndege za Airbus za kisasa kabisa ni Airbus A350 xwb
View attachment 983610
Nilijua tu walewaleSisi tunasonge mbele ila wewe unaruhusiwa kubaki hapo ulipo hadi utakapokutana na wanaoshabihiana nawe kifikra.
Kwi! Kwi! Kwi!Airbuss zilizokuja Tanzania ni Airbus 200-220 na Ndege za Airbus za kisasa kabisa ni Airbus A350 xwb
View attachment 983610
Ni google nikasoma kisha nikacheka A220 family mpaka A380. Mungu anatucheeeka.Airbuss zilizokuja Tanzania ni Airbus 200-220 na Ndege za Airbus za kisasa kabisa ni Airbus A350 xwb
View attachment 983610
Uelewa wako mdogo au umeamua kubadirisha ukweli. Walisema ni ndege ya kwanza ya aina hiyo kununuliwa Afrika ya aina hiyo.Airbuss zilizokuja Tanzania ni Airbus 200-220 na Ndege za Airbus za kisasa kabisa ni Airbus A350 xwb
View attachment 983610
Endelea kugoogle mkuuNi google nikasoma kisha nikacheka A220 family mpaka A380. Mungu anatucheeeka.
Mnajiahidi kupotosha lkn ndio hivyo mmechelewaAirbuss zilizokuja Tanzania ni Airbus 200-220 na Ndege za Airbus za kisasa kabisa ni Airbus A350 xwb
View attachment 983610
Mungu anatuchekaje mkuu? a220-300 na boeing 737 max( ambayo ni mpya) almost ziko sawa.. zinashindana kwa karibu sana.Ni google nikasoma kisha nikacheka A220 family mpaka A380. Mungu anatucheeeka.
Faiza unajua watanzania wengi wana uvivu wa kufanya research. Huyu bwana inaonekana kasoma heading lakin hajaingia deep ..akasoma kwa usahihi.Umekosea, iliyokuja Tanzania ni a220 ni family tofauti na a350.
Kafanye homework yako vizuri.
What's the problem?Airbuss zilizokuja Tanzania ni Airbus 200-220 na Ndege za Airbus za kisasa kabisa ni Airbus A350 xwb
View attachment 983610