Tuliambiwa hizi ndege za Airbus zilizokuja Tanzania ndio za kisasa kabisa kumbe si kweli!

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Airbuss zilizokuja Tanzania ni Airbus 200-220 na Ndege za Airbus za kisasa kabisa ni Airbus A350 xwb

airbuss.jpg


Aisee ww ndio umekosea sana mkuu. Ulichoelezea ni ukubwa wa ndege.. na si kivingine.
Ieleweke project haikuwa ya airbus hapo mwanzo ilikuwa ya bomberdier.
Airbus waliponunua hisa za bomberdier wakabadilisha jina kutoka Cs300 to A220-300.

Technical means zote ni za bomberdier.

Hizi ndege zimetofautia madaraja.
A350 Xwb ni iko katika daraja la wide body long range airplanes. hii daraja ni akina 787 , 777x, 768 , A330-300neo.
A220- 300 Iko katika Narrow body regional jet.. inaishindana direct na 737 Max.

Kitechnologia yes ni mpya. Fly by wire , geared turbofan engine, ina zile standard advanced devices mbali mbali.
 
Tulikubali kulagaiwa toka 2015 na tukatulia kwahiyo huu ni muendelezo tu mzee baba
 
Airbuss zilizokuja Tanzania ni Airbus 200-220 na Ndege za Airbus za kisasa kabisa ni Airbus A350 xwb

View attachment 983610
Naona kuna mahali hapako sawa. Aina ile ya airbus tuliyonunua (A220-300) ndio model mpya ya aina ile (A220 Cseries). Lkn ukisema model za airbus in general nadhani ile iliyotua Dar kwa emergency A380 ndio the latest
 
Airbuss zilizokuja Tanzania ni Airbus 200-220 na Ndege za Airbus za kisasa kabisa ni Airbus A350 xwb

View attachment 983610
Kwa mara ya kwanza tangu nianze kukufuatilia, umeandika pumba, siamini kama kiwango changu cha ujinga kipo juu kiasi hiki. But still siamini kama ni wewe nadhani mtu ametumia jina lako. Fuatilia kwa makini historia ya brand hiyo ya ndege iliyoendelezwa na Airbus kutoka Bombadier ikiwa kwenye hatua za mwisho za utengenezwaji wake
 
Kwa kuponda..
Tuwekee hizo za kisasa unazoziota na kueleza zipite zetu za kisasa
 
Hamna Cha Kushangaza hapo.

Mfano;
Ni kama unapokutana na Tangazo LA Kuuza gari
" Spacio New Model ya mwaka 2005 inauzwa Millioni 15"

Unakaa unazijiuliza,
"New model kwa Misingi IPI wakati huu ni mwaka 2019 na Gari imetengenezwa mwaka 2005"







Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona kuna mahali hapako sawa. Aina ile ya airbus tuliyonunua (A220-300) ndio model mpya ya aina ile (A220 Cseries). Lkn ukisema model za airbus in general nadhani ile iliyotua Dar kwa emergency A380 ndio the latest
A380 sio latest maana ndege yao ya kwanza iliruka 2005 hivyo ilitengenezwa kabla ya 2005 sasa inakuaje latest?
 
Back
Top Bottom