AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
Habari wana JF….
If you are to be granted lolote lile utakalo katika Maisha
Yako.... Kitu gani waweza taka Most... Ambacho unajua
Ukisha kipata utaridhika daima... Naomba tafadhali;
Tulia.... na Vuta Taswira.. uweze tuambia hicho kitu....
na yawezekana tayari wakijua...-Please Share....
P.S: Vigezo na Masharti ya JF Rules Vizingatiwe….(ADI)
If you are to be granted lolote lile utakalo katika Maisha
Yako.... Kitu gani waweza taka Most... Ambacho unajua
Ukisha kipata utaridhika daima... Naomba tafadhali;
Tulia.... na Vuta Taswira.. uweze tuambia hicho kitu....
na yawezekana tayari wakijua...-Please Share....
P.S: Vigezo na Masharti ya JF Rules Vizingatiwe….(ADI)