MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,478
- 20,390
Sugu ana street creds lakini huwa kuna muda vijana inabidi walipe kodi za nyumba,wanunue vocha, wakina mama wawe na vikundi vyenye hela na mitaji,watoto waende shule nk nk hapo ndipo anapokuja Tulia kama mbunge sahihi kwa wana Mbeya.
Nimekaa Mbeya kwa muda kidogo nakuona mambo yanavyokwenda kwenye ground kwa kweli suala la Sugu kurudi sio mjadala tena kama Dada Tulia atakuwa mgombea ubunge Mbeya.
Siasa za sasa hivi zinahitaji wanasiasa wanaowainuia wananchi kiuchumi na sio kuwainua kwenye maandamano pekee.
Tulia trust imewatoa vijana mitaani imewapa pikipiki,bajaji,wakina mama wamewezeshwa mitaji na mikopo,madarasa yamejengwa nk
Nimekaa Mbeya kwa muda kidogo nakuona mambo yanavyokwenda kwenye ground kwa kweli suala la Sugu kurudi sio mjadala tena kama Dada Tulia atakuwa mgombea ubunge Mbeya.
Siasa za sasa hivi zinahitaji wanasiasa wanaowainuia wananchi kiuchumi na sio kuwainua kwenye maandamano pekee.
Tulia trust imewatoa vijana mitaani imewapa pikipiki,bajaji,wakina mama wamewezeshwa mitaji na mikopo,madarasa yamejengwa nk