William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Hata kama Spika atawachukulia kuwa NI wanachama halali wa Chadema. Chadema imeshatoa ufafanuzi nyaraka zilizotumika kuwaingizwa bungeni zimefojiwa.
Na wanaoandaa nyaraka hizo wameshatoa taarifa za sahihi zao na majina yao kufojiwa. Sijui wanataka Nani aje asibitishe Hilo. Wakati wewe unasema huyu ndio aliyeandaa Orodha ya Wabunge. Kamati kuu inakaa kikao inakupa barua kuwa hatukuandaa sisi. Na wanakujulisha Spika kuwa hao NI waalifu wamefoji nyaraka.
CHADEMA haina haja ya kutoa taarifa za uhai au kutokuwa mwanachama ili kuonesha uhalali wa akina mdee. Sababu hawatakiwi kuwepo bungeni sababu wameingia kwa njia haramu.
Basi Spika ajikite kuonesha uhalali wa nyaraka zilizotumika na majina na sahihi na katibu aliyepeleka majina kwa spika. Na vikao vilivyopitisha majina hayo.
Kushindwa kufanya hivyo kutaendelea kuoneshaa dunia kuwa Sheria ya Kinga dhidi ya kushitakiwa kwa spika ililetwa ili kumfanya Spika kutoa maamuzi ya kuangamiza upinzani. Na kuwe akuna mwanya wa kuipata haki kokote atakapoweza kuitafunga au kuipokonya kwa nguvu.
Kwa Sheria hiyo Spika Sasa ameweza kuvunja katiba bila hofu ya kushitakiwa, kupingwa Wala maamuzi yake kukatiwa rufaa.
Na wanaoandaa nyaraka hizo wameshatoa taarifa za sahihi zao na majina yao kufojiwa. Sijui wanataka Nani aje asibitishe Hilo. Wakati wewe unasema huyu ndio aliyeandaa Orodha ya Wabunge. Kamati kuu inakaa kikao inakupa barua kuwa hatukuandaa sisi. Na wanakujulisha Spika kuwa hao NI waalifu wamefoji nyaraka.
CHADEMA haina haja ya kutoa taarifa za uhai au kutokuwa mwanachama ili kuonesha uhalali wa akina mdee. Sababu hawatakiwi kuwepo bungeni sababu wameingia kwa njia haramu.
Basi Spika ajikite kuonesha uhalali wa nyaraka zilizotumika na majina na sahihi na katibu aliyepeleka majina kwa spika. Na vikao vilivyopitisha majina hayo.
Kushindwa kufanya hivyo kutaendelea kuoneshaa dunia kuwa Sheria ya Kinga dhidi ya kushitakiwa kwa spika ililetwa ili kumfanya Spika kutoa maamuzi ya kuangamiza upinzani. Na kuwe akuna mwanya wa kuipata haki kokote atakapoweza kuitafunga au kuipokonya kwa nguvu.
Kwa Sheria hiyo Spika Sasa ameweza kuvunja katiba bila hofu ya kushitakiwa, kupingwa Wala maamuzi yake kukatiwa rufaa.