Fredrick Nwaka
Member
- Jul 8, 2013
- 47
- 65
Ni Wazi Dr Tulia Ackson Mwansasu Analinyatia Kwa Udi Na Uvumba Jimbo La Mbeya Mjini ambalo Sasa linashikiliwa na Joseph Mbilinyi aka Mr Sugu.
Anatoa misaada kuanzia makanisani, misikitini na Kwenye masinagogi.
Anatoa misaada Katika Shule za Msingi na Sekondari.
Anatembelea misiba, anasaidia vikundi Vya Akina Mama na Vijana.
Je Tulia Ackson Anaweza kuwa Mbunge Wa Mbeya Mjini after 2020?
Anatoa misaada kuanzia makanisani, misikitini na Kwenye masinagogi.
Anatoa misaada Katika Shule za Msingi na Sekondari.
Anatembelea misiba, anasaidia vikundi Vya Akina Mama na Vijana.
Je Tulia Ackson Anaweza kuwa Mbunge Wa Mbeya Mjini after 2020?